Wachaga ni moja ya kabila lenye dialects nyingi Tanzania

Uko sawa kabisa kuhusu dialect!
In general hakuna kabila la Wachaga kama ilivyo kwa Wasukuma.
Hakuna kabila la Wasukuma!
Sukuma maana yake ni Kaskazini.
 
Kwanini wote waitwe wachaga huku hawasikilizani?ila kila koo kujikita katika upande wake nadhani umesaidia kuleta challenges baina yao na hivyo kuleta maendeleo.
 
Wachaga hawajali ukabila miongoni mwao ila muhimu maendeleo
 
Pamoja na michango mingine ya wadau, hakuna lugha inayoitwa kimarangu. Marangu ni sehemu ndogo tu ya Vunjo na lugha unaizungumzia inaongelewa eneo lote la Vunjo.
 
Misifa kazini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…