Ngoja tusubiri mkuu wanakuja.Baba kaoa mke ambaye ameezaa nae watoto wawili wa kiume.mtoto wa kwanza ni wa kiume lakini hajazaa na huyo aliyemuoa mtoto wa pili ni wa kiume kazaa na mwanamke mwingine.kwa maana rahisi yule aliyemuoa kazaa nae mtoto wa tatu na wa nne...sasa tuje kwenye swali ukiongelea desturi nani ni mtoto wa kwanza apo na je mtoto huyo wa kwanza anamaana gani hasa when it comes to family issues. Achana na hizi common fact sijui ndo uongoze wenzio and the like naomba kujua kitu ambacho unadhani sijui kuhusu wachaga na mtoto wa kwanza specifically.
Makabila mengine karibuni pia.
Submitted.
Kafunga na nani ndoa?? Kama si kanisan hata ya kimila/kulipa mahari?? Tuanzie hapoBaba kaoa mke ambaye ameezaa nae watoto wawili wa kiume.mtoto wa kwanza ni wa kiume lakini hajazaa na huyo aliyemuoa mtoto wa pili ni wa kiume kazaa na mwanamke mwingine.kwa maana rahisi yule aliyemuoa kazaa nae mtoto wa tatu na wa nne...sasa tuje kwenye swali ukiongelea desturi nani ni mtoto wa kwanza apo na je mtoto huyo wa kwanza anamaana gani hasa when it comes to family issues. Achana na hizi common fact sijui ndo uongoze wenzio and the like naomba kujua kitu ambacho unadhani sijui kuhusu wachaga na mtoto wa kwanza specifically.
Makabila mengine karibuni pia.
Submitted.
Baba kaoa mke ambaye ameezaa nae watoto wawili wa kiume.mtoto wa kwanza ni wa kiume lakini hajazaa na huyo aliyemuoa mtoto wa pili ni wa kiume kazaa na mwanamke mwingine.kwa maana rahisi yule aliyemuoa kazaa nae mtoto wa tatu na wa nne...sasa tuje kwenye swali ukiongelea desturi nani ni mtoto wa kwanza apo na je mtoto huyo wa kwanza anamaana gani hasa when it comes to family issues. Achana na hizi common fact sijui ndo uongoze wenzio and the like naomba kujua kitu ambacho unadhani sijui kuhusu wachaga na mtoto wa kwanza specifically.
Makabila mengine karibuni pia.
Submitted.
Kafunga ndoa na mke aliezaa nae mtoto wa tatu na wa nne ndoa ya kanisani.