Wachaga tukutane mjadala wa mwisho wa mwaka

Wachaga tukutane mjadala wa mwisho wa mwaka

Jana nilikiwa naangalia kombe la dunia Kati ya England na Senegal, Senegal alipopoligwa la 3 mtangazaji alisema "Kuna muda unatakiwa ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa badala ya kujenga chuki" akimaanisha kile kipigo Cha sisi weusi (Senegal) kiwe funzo kwetu badala ya kuwachukia wazungu kwa kuonyesha uwezo mkubwa.

Nikiwa mtanzania,nathubutu kusema wachaga ni moja ya kabila Bora Sana ambalo linapaswa kupigiwa mfano si bongo tu,Bali pia barani Afrika. Jamaa ni wapambanaji sana.Inadurahisha kuona jinsi wanavyonivunia kuwa wao,Ni Kama wamarekani wanavyonivunia kuwa wamarekani na kutembea kifua mbele duniani kote. Ukiwa negative huwezi kujifunza.
Pata kinywaji popote ulipo kwa hela yako mkuu😊😊
 
Wachaga mnieleweshe kitu hapa aisee.
Inakuaje mnakua wachaga (kabila moja) halafu lugha tofauti kulingana na maeneo.??
Kuna jamaa yeye ni mchaga wa rombo na mwingine wa machame (kama sijakosea) nikashangaa kuskia eti hawawezi kuelewana coz lugha zao ni tofauti!!.

Au ni makabila mengi yaliungana ndo ukaundwa uchaga??
Hapo rombo tu kuna vitongoji havielewani vizuri.
 
Nina ticketi za dili za treni mtu akikosa dirishani anicheck PM.
 
Jana nilikiwa naangalia kombe la dunia Kati ya England na Senegal, Senegal alipopoligwa la 3 mtangazaji alisema "Kuna muda unatakiwa ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa badala ya kujenga chuki" akimaanisha kile kipigo Cha sisi weusi (Senegal) kiwe funzo kwetu badala ya kuwachukia wazungu kwa kuonyesha uwezo mkubwa.

Nikiwa mtanzania,nathubutu kusema wachaga ni moja ya kabila Bora Sana ambalo linapaswa kupigiwa mfano si bongo tu,Bali pia barani Afrika. Jamaa ni wapambanaji sana.Inadurahisha kuona jinsi wanavyonivunia kuwa wao,Ni Kama wamarekani wanavyonivunia kuwa wamarekani na kutembea kifua mbele duniani kote. Ukiwa negative huwezi kujifunza.

Ubarikiwe walahi [emoji2956]
 
f4c3f792-a13c-4b07-87be-9c1d4d80d23c.jpg
 
Haika Ruwa,

Wachaga wote wa Rombo, Marangu, kirua vunjo, Wakibosho Wamachame, wa Huru wa Hai na pande zote, ikifika mwisho wa mwaka swali la kwanza ambalo tunajiuliza ni je, tumefikia malengo tuliyojiwekea mwaka huu?

Tufanye nini ili mwakani tuende mbele zaidi na kufikia malengo kirahisi zaidi? Umoja wa Wachaga katika miji, vijiji, mikoa na nchi mbalimbali unasonga ipasavyo?

Mchaga usisahau kurudi nyumbani.
Kama kawaida, kwenda moshi lazimaaa, tumevuna mwaka mzima sasa ni wakati wa kwenda kwetu kuweka mezani mavuno, ambae hajaleta mavuno inabidi tumpe semina na mbinu mpya za kupambana
 
Back
Top Bottom