Dukani
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 1,136
- 1,652
Umbwe,,, karibu Shanghai munama.Wa kibosho sambarai tujuane [emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbwe,,, karibu Shanghai munama.Wa kibosho sambarai tujuane [emoji28][emoji28]
Pata kinywaji popote ulipo kwa hela yako mkuu😊😊Jana nilikiwa naangalia kombe la dunia Kati ya England na Senegal, Senegal alipopoligwa la 3 mtangazaji alisema "Kuna muda unatakiwa ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa badala ya kujenga chuki" akimaanisha kile kipigo Cha sisi weusi (Senegal) kiwe funzo kwetu badala ya kuwachukia wazungu kwa kuonyesha uwezo mkubwa.
Nikiwa mtanzania,nathubutu kusema wachaga ni moja ya kabila Bora Sana ambalo linapaswa kupigiwa mfano si bongo tu,Bali pia barani Afrika. Jamaa ni wapambanaji sana.Inadurahisha kuona jinsi wanavyonivunia kuwa wao,Ni Kama wamarekani wanavyonivunia kuwa wamarekani na kutembea kifua mbele duniani kote. Ukiwa negative huwezi kujifunza.
Wa Marangu kokirie tujuane,[emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo Kibosho Umbwe,Kifuni mpaka Kibosho KirimaWale wa Manushi, Maili Sita, Lyamungo na viunga vyote vya Umbwe, majina naandikisha mimi
Ndagha kikoloHiyo Kibosho Umbwe,Kifuni mpaka Kibosho Kirima
Tuko hapa[emoji18]Kibosho umbwe kifuni mkuje hapa[emoji23][emoji23]
Hapo rombo tu kuna vitongoji havielewani vizuri.Wachaga mnieleweshe kitu hapa aisee.
Inakuaje mnakua wachaga (kabila moja) halafu lugha tofauti kulingana na maeneo.??
Kuna jamaa yeye ni mchaga wa rombo na mwingine wa machame (kama sijakosea) nikashangaa kuskia eti hawawezi kuelewana coz lugha zao ni tofauti!!.
Au ni makabila mengi yaliungana ndo ukaundwa uchaga??
Mgeni wako sikukuuWa kibosho sambarai tujuane 😅😅
Njoo luchume kilachiMburaaa; Chaaa, ngichany' Mwaka jana mlikula hela yangu ivihivi. Wai' itsa na kulya 🏃♂️ 🏃♂️ 😆 😆 😆 Hahahaaaa. Ntatuma mwakilishi broo, yaishe meeku.
Sasa hilo utasema ni kabila moja kweli??Hapo rombo tu kuna vitongoji havielewani vizuri.
Sembeti hapaWa Marangu kokirie tujuane,[emoji3][emoji3][emoji3]
Jana nilikiwa naangalia kombe la dunia Kati ya England na Senegal, Senegal alipopoligwa la 3 mtangazaji alisema "Kuna muda unatakiwa ujifunze kutoka kwa waliofanikiwa badala ya kujenga chuki" akimaanisha kile kipigo Cha sisi weusi (Senegal) kiwe funzo kwetu badala ya kuwachukia wazungu kwa kuonyesha uwezo mkubwa.
Nikiwa mtanzania,nathubutu kusema wachaga ni moja ya kabila Bora Sana ambalo linapaswa kupigiwa mfano si bongo tu,Bali pia barani Afrika. Jamaa ni wapambanaji sana.Inadurahisha kuona jinsi wanavyonivunia kuwa wao,Ni Kama wamarekani wanavyonivunia kuwa wamarekani na kutembea kifua mbele duniani kote. Ukiwa negative huwezi kujifunza.
Tulipamopene nkulumbaNdagha kikolo
Kama kawaida, kwenda moshi lazimaaa, tumevuna mwaka mzima sasa ni wakati wa kwenda kwetu kuweka mezani mavuno, ambae hajaleta mavuno inabidi tumpe semina na mbinu mpya za kupambanaHaika Ruwa,
Wachaga wote wa Rombo, Marangu, kirua vunjo, Wakibosho Wamachame, wa Huru wa Hai na pande zote, ikifika mwisho wa mwaka swali la kwanza ambalo tunajiuliza ni je, tumefikia malengo tuliyojiwekea mwaka huu?
Tufanye nini ili mwakani tuende mbele zaidi na kufikia malengo kirahisi zaidi? Umoja wa Wachaga katika miji, vijiji, mikoa na nchi mbalimbali unasonga ipasavyo?
Mchaga usisahau kurudi nyumbani.