stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
hiyo mibangi mnayovuta ni stimu za kulanduka kama sio fani yako ndugu yangu utaumbuka
Dioscorea bulbifera - Air Yam, Air Potato, Bitter Yam, Aerial Yam, Potato Yam, Hoi, Pi`oi - Hawaiian Plants and Tropical Flowers
Vipo vingi sana maeneo ya Kilimanjaro...
Ndio Hivi Hivi Mkuu...Sisi Tunaviita Vimamaya
Rombo mkuu au? Hii mimea kuna haja ya kuitunza. Sina uhakika kama Tanzania ina benki ya mazao.
Rombo Moja Hii Mkuu,Ni Kweli Kabisa Manake Mingine Ishapotea Kabisa
Kweli wachaga waongo ila hapo hajakudanganya. Viazi vikuu huwa vinatoa mbegu kwenye majani na hutoa viazi vidogovidogo juu vikisambaa kwenye miti juu!
Jamaa eu nyi nndu wa ajabu deny, eeshi ata kindo akeghegha fo!
Ndedee nta yewe kuishi kimashami nisha pfoo!! Amba nyi nndu wa ngata!! Yewe kwiishi fibere na nduuya ro?!
Teh teh teh atakuwa wa kishumundu huyo bila shaka,,,maana kuna mmoja alikua anajua Vitz itakuwa Semi Trailler baadae.
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Rombo Moja Hii Mkuu,Ni Kweli Kabisa Manake Mingine Ishapotea Kabisa
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!