Wachaga waongo

Wachaga waongo

Ndiyo vipo vinaitwa nduuu na ni dawa ya presha zile nduu chungu ... na kuna nduu tamu acha kabisa hichi kiazi kitamu sana na.kikishamalizia kutoa viaz vya juu kuna vya chini vinakuwa na kama manyoya manyoya hivi vile ndio vitamy zaid
 
Vipo na mimi navijua nimeshaviona huku moshi hata kwetu kagera vipo vinaitwa amasoma
 
...kama hujui kitu Ni bora ukae kimya, Ni kweli vipo viazi vinaitwa NDUU (kwa uchagani)

hamna cha uwongo wala nini, soma biology vizuri
 
Kwa kichaga cha Siha vinaitwa FIBEREE

Teh teh teh! Kichaga kama Kingereza, ENGLISH USA, ENGLISH CANADA, UK, SA, nk. Kichaga MACHAME, ROMBO, SIHA, HIMO, KISHUMUNDU, nk.
 
Ndiyo vipo vinaitwa nduuu na ni dawa ya presha zile nduu chungu ... na kuna nduu tamu acha kabisa hichi kiazi kitamu sana na.kikishamalizia kutoa viaz vya juu kuna vya chini vinakuwa na kama manyoya manyoya hivi vile ndio vitamy zaid

aisee unajua vizuri
 
Vipo na mimi navijua nimeshaviona huku moshi hata kwetu kagera vipo vinaitwa amasoma

Haaaaaah! asante mkuu, nilikuwa najiuliza hivi ni viazi vya namna gani, kumbe masoma? haaaaaa hivi viazi vitamu sana, kuna aina mbili, vikubwa na vidogo ila vidogo ni vitamu sana.
 
Ndiyo vipo vinaitwa nduuu na ni dawa ya presha zile nduu chungu ... na kuna nduu tamu acha kabisa hichi kiazi kitamu sana na.kikishamalizia kutoa viaz vya juu kuna vya chini vinakuwa na kama manyoya manyoya hivi vile ndio vitamy zaid

Vinatoa viazi hata chini, au unamaanisha viazi vikuu?
 
vipo viazi vinavyozalia juu. huku kwetu pwani tunaviita vibambika. Dah! nimevimis sana
 
Kimarangu vinaitwa nduuu mizizi yake inaitwa shia wacha we

shia bwana ni viazi vikuu, na hizo nduu za juu na za chini huitwa hivyo hivyo,huanza kuvunwa za juu tena kipindi kama hiki na za chini huvunwa kuanzia mwezi wa 10,tofauti za juu ni chungu na zina maganda meusi na ndani zikiiva ni kama za njano hivi,na za chini zenyewe zina asili ya utamu na rangi yake nikama njano njano hivi.kwa lugha nyingine ni ndunyasa na nadhani ndichao kiswahili chake.
 
shia bwana ni viazi vikuu, na hizo nduu za juu na za chini huitwa hivyo hivyo,huanza kuvunwa za juu tena kipindi kama hiki na za chini huvunwa kuanzia mwezi wa 10,tofauti za juu ni chungu na zina maganda meusi na ndani zikiiva ni kama za njano hivi,na za chini zenyewe zina asili ya utamu na rangi yake nikama njano njano hivi.kwa lugha nyingine ni ndunyasa na nadhani ndichao kiswahili chake.

ndiyo mi navipenda vitamu sana..... dawa ya presha inaitwa
 
Umechemka manamshiki!! Shia huwa havitoi matunda juu na ni vigumu unawezavunja meno ukiwa unakula, matawi yake yana miiba miiba

Kiteitei nduu nimepatia lakin ...dawa ya presha inaitwa..... username yako tu kitei tei nimelipenda......
 
Hivi mbona vipo vingi sana nimevipanda nyumbani baada ya kuambiwa ni dawa ya tumbo , macho na kuzuia kuharisha.

Scientific name Dioscorea bulbifera jina la kibiashara au jina la kawaida ni Air Potato
 
Back
Top Bottom