Wachaga waongo

Vipo vinaitwa vibere vzr sn mkuu usipimie yani unachemsha unabandua ganda wala tamu sn mmevitaja nishaanza kuvitamani
 
Tarakea@babu asprin

Ohoo, siku ukipata nauli usiache kuja hapa Mashati sokoni. Ofa ya utumbo na maini ya kuchoma haitanifanya nishindwe kusomesha watoto.
 
Rombo ya wapi hiyo tian. Kama vipi pitia hapa Mamsera kwa Mwarabu tumkomeshe 'mburu'

Wewe babu mm Nipo hapa mmsera ...nyama choma kwa mwarabu tamu..
Huyu anasema waonngo hajui mamaya na nduu nni
 
Last edited by a moderator:
Duh huyo Jamaa ni mwongo kweli
 
du uwepo wa smartphone unafanya mtu aandike chochote kile anachokisikia, aya kwa hiyo hili umeliona ulete huku, kwani ulishindwa kutatua na kwa wengine wa maeneo hayo? au si ungem pm miss chaga tu angekujibu?
 
mchaga mmoja kawaponza wachaga woooote ,au ndo ya samaki mmoja kaoza?
 
Ndio hata mimi waliwahi kuniambia . Na siku nilipotembelea huko niriviona. Vinaitwa nduu. Kwa kimarangu.
sawa kabisa Tuko ametuwekea link na picha yake ndio hiyo
ukivichemsha au kuvichoma vinakuwa vyeusi
ukivila vina unga mwingi mkavu (si vitamu km viazi vitamu) ila ni vizuri
 
Last edited by a moderator:
Wewe babu mm Nipo hapa mmsera ...nyama choma kwa mwarabu tamu..
Huyu anasema waonngo hajui mamaya na nduu nni

Kumbe. ngoja ntakupm tupange mpango mkakati.
 
Wanashangaa miti ya viazi!,,je nikiwaanbia mipapai inayotambaa?
 
Wewe una generalise wachaga wote waongo wakati mlikuwa mnaongea na mchaga mmoja...hivyo viazi vipo,viazi vikuu,labda hujawahi kuviona alafu una conclude ushuzi ushuzi bila research,we utakuwa kiazi pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…