Wachagga nimethibitishiwa hili na Mchagga tukuka mwenzenu je, lina ukweli au mnalikataa?

Wachagga nimethibitishiwa hili na Mchagga tukuka mwenzenu je, lina ukweli au mnalikataa?

Mila hizo zimetungwa na wanaume wa kichaga kuruhusu wake zao kuchepuka ili kuepuka hicho ulichokisema?
 
Hizo ni tabia za kwenu uswahilini.
Wachagga kimila na kiutamaduni ni marufuku sana sana hicho unachokisema. ZIPO MILA ZINAZOKAGUA KAMA MTOTO NI WENU AU LA. NDO MAANA MWANAMKE WA KICHAGA ANACHINJIWA MBUZI NA KUNA KAMILA HAPO NA MTOTO ANAVISHWA KANGOZI KWA MUDA KIDOGO. KAMA SIO WENU WANAKUWAGA WA HOVYO SANA. NDO MAANA KUNA MSEMO " MUULIZE VIZURI MAMA YAKO USIJEKUTA WEWE SIO WA BOMA HII" HATA AKIZIKWA KWENYE SHAMBA ANAWEZA KUWAMALIZA WOTE. MOSHI YAPO MASHAMBA MENGI HAYAKALIKI KWA SABABU HIZI.
kwahiyo pamoja na kusali kote huko wachagga mmetawaliwa na mizimu na mashetani ambayo ndiyo yanagorvern koo zenu. ajabu sana.
 
"Kwa Mila zetu Wachagga ni kwamba Mwanamke yoyote yule wa Kichagga akiolewa licha ya Kumzalia Watoto huyo Mumewe lakini pia anatakiwa Kuchanganya Damu ( Kuzaa Mtoto wa Nje ya Ndoa ) ili ikitokea hawa Watoto aliozaa na Mumewe wa Ndoa wamepatwa na Janga baya la Ugonjwa basi kuwepo na Mtoto Mwingine ambaye ni mzima na huyu ni wa Nje ya Ndoa" amesema Mwanamke wa Kichagga kutoka Marangu alipokuwa akizungumza na Mdadisi na Mchokonoaji Tukuka GENTAMYCINE jana Jioni.

Taratibu sasa naanza Kumuamini na Kumuelewa kwani kuna Familia Tatu za Kichagga zote zina Watoto Wanne Wanne ila zote hizo kuna Watoto ambao hawafanani kabisa na Wenzao Watatu ndani ya hizo Familia zao.

Haya Ndugu zangu mliooa au mtakaooa Wanawake wa Kichagga kulea Mabao yasiyo yenu ni jambo la kawaida hivyo kuweni tu Wavumilivu kwani Wanawake wa Kichagga wanadumisha Mila za Kwao Mkoani Kilimanjaro ( Moshi )

Kazi ipo.....!!
Hapana sio mwanamke ndie aletw WA nnje ni mwanaume apige nnje
 
Wazee kwa kulitambua hilo na kuepusha malumbano walikuja na msemo wa "Kitanda hakizai haramu" Mkuu 🙌

Tuwaheshimu wazee 😜
📌📌📌

20231115_56.jpg
 
Mila hii ipo kwa wanaume lakini saiv i kama imepotea,Anaezaliwa nje Anaitwa Kilinda ukoo.Mara nyingi Mama anakua hajui ila inafanywa kama kuna mtu alinuia chochote kibaya kimachoteketeza familia flan ,

Ikitokea nuizo hilo familia yote Italy Kutoka kwa vifo Au namna nyingine lakini Yule mtoto wa nje anapona.

Baadae kama hakuna shida basi mtoto Yule anachukuliwa kwa kwenda kukombolewa na wazee kutoka kwa ukoo ule kuja huku uchagani,Kwa kuwasikiliza watu wa kule Upande wa mwanamke alikozaliwa.

Atachinjwa mbuzi na mila nyingine ndipo mtoto atakapo pokelewa huku kwa baba yake.
 
Back
Top Bottom