MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Leo Jemedari Said Kazumari bila hata Aibu (Haya) na ukiongozwa na Unafiki wako wakati Ukweli unaujua ukizingatia kuwa hata Mpira Umeucheza na unaujua vyema tu unasema Refa wa Jana ameionea mno Simba SC na Kuibeba Orlando Pirates FC.
Nakuomba rejea kutizama Mechi ya awali kati ya Simba SC na Orlando Pirates FC waliyocheza hapa Dar es Salaam kisha utagundua kuwa hata Sisi Simba SC tulibebwa na Kupendelewa na Refa katika Matukio mengi tu.
Na Wewe Ally Kamwe nimeona mahala ukisema kuwa lile Goli la Orlando Pirates FC lilikuwa ni Offside huku mkimlaumu Refa kuwa hakutaka kwenda Kujiridhisha katika VAR System.
Labda nikusaidie tu kama yule Mwamuzi (Refa) aliyechezesha Mechi ya Simba SC na Orlando Pirates FC hapa Dar es Salaam angesema ayafuatilie Matukio muhimu ya Kimchezo katika ile Mechi kuna uwezekano mkubwa hata ile Penati Simba SC tusingepewa na badala yake tungefungwa Goli za kutosha tu.
Na bahati nzuri Mimi MINOCYCLINE ninayewasema hapa ni 100% mwana Simba SC na siyo Yanga SC (Mabingwa Watarajiwa wa NBC Premier League 2021 / 2022) hivyo nawaombeni tu acheni Kuchambua na Kukosoa Kwenu huku kwa Kujipendekeza (Kujikomba) kwa Uongozi wa Simba SC (hasa CEO Barbara Gonzalez) ambaye Watu tunaofuatilia Mambo Magumu ya Taarifa tumehakikishiwa kuwa baadhi yenu Wachambuzi mpo katika Payroll za hivi Vilabu Vikubwa nchini na kwamba ukichambua kwa Kuwapendelea na Kuwasifia baadae unaona Salio Jipya la Pesa limeingia katika Muamala wa Simu yako (zenu)
MINOCYCLINE ninachojua ni kwamba Simba SC tumepambana Kadri ya Uwezo wetu na tumefungwa Kimchezo na kwa Mapungufu kadhaa ya Kiufundi niliyoyaona hivyo tusikate Tamaa, tujipange zaidi kwa Mashindano yajayo, tujirekebishe na tuendelee Kujifunza kwa Faida ya Mashindano yajayo, you ila hizi Ngonjera zenu kuwa Simba SC ilionewa nawaachieni nyie na Majuha (Mazuzu) Wenzenu kwani hakuna asiyejua kuwa Falsafa Kuu ya Mpira wa Afrika hasa katika Mashindano ya Kimataifa ni KILA MTU ASHINDE NA ABEBWE KWAO hivyo Refa alitubeba Nyumbani Dar es Salaam na Wao Refa kawabeba Kwao Johannesburg.
Imeisha hiyo....!!!!
Nakuomba rejea kutizama Mechi ya awali kati ya Simba SC na Orlando Pirates FC waliyocheza hapa Dar es Salaam kisha utagundua kuwa hata Sisi Simba SC tulibebwa na Kupendelewa na Refa katika Matukio mengi tu.
Na Wewe Ally Kamwe nimeona mahala ukisema kuwa lile Goli la Orlando Pirates FC lilikuwa ni Offside huku mkimlaumu Refa kuwa hakutaka kwenda Kujiridhisha katika VAR System.
Labda nikusaidie tu kama yule Mwamuzi (Refa) aliyechezesha Mechi ya Simba SC na Orlando Pirates FC hapa Dar es Salaam angesema ayafuatilie Matukio muhimu ya Kimchezo katika ile Mechi kuna uwezekano mkubwa hata ile Penati Simba SC tusingepewa na badala yake tungefungwa Goli za kutosha tu.
Na bahati nzuri Mimi MINOCYCLINE ninayewasema hapa ni 100% mwana Simba SC na siyo Yanga SC (Mabingwa Watarajiwa wa NBC Premier League 2021 / 2022) hivyo nawaombeni tu acheni Kuchambua na Kukosoa Kwenu huku kwa Kujipendekeza (Kujikomba) kwa Uongozi wa Simba SC (hasa CEO Barbara Gonzalez) ambaye Watu tunaofuatilia Mambo Magumu ya Taarifa tumehakikishiwa kuwa baadhi yenu Wachambuzi mpo katika Payroll za hivi Vilabu Vikubwa nchini na kwamba ukichambua kwa Kuwapendelea na Kuwasifia baadae unaona Salio Jipya la Pesa limeingia katika Muamala wa Simu yako (zenu)
MINOCYCLINE ninachojua ni kwamba Simba SC tumepambana Kadri ya Uwezo wetu na tumefungwa Kimchezo na kwa Mapungufu kadhaa ya Kiufundi niliyoyaona hivyo tusikate Tamaa, tujipange zaidi kwa Mashindano yajayo, tujirekebishe na tuendelee Kujifunza kwa Faida ya Mashindano yajayo, you ila hizi Ngonjera zenu kuwa Simba SC ilionewa nawaachieni nyie na Majuha (Mazuzu) Wenzenu kwani hakuna asiyejua kuwa Falsafa Kuu ya Mpira wa Afrika hasa katika Mashindano ya Kimataifa ni KILA MTU ASHINDE NA ABEBWE KWAO hivyo Refa alitubeba Nyumbani Dar es Salaam na Wao Refa kawabeba Kwao Johannesburg.
Imeisha hiyo....!!!!