Wachambuzi maandazi hata kupostiwa CAF inawauma?!

Wachambuzi maandazi hata kupostiwa CAF inawauma?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220921-090208_Chrome.jpg

Shida ni pale unapotaka kuchambua kila kitu.

Mkuu wa idara ya habari Simba....
Anafurahia team yake inapata mileage ( wote tunaelewa umuhimu).
Hayo ni mafanikio kwake kama mtu wa habari......
Anakuja mchambuzi ambaye yeye hudhani ana akili anaongea anayoongea.

Unajiuliza tatizo nini? Hupati jibu.....
Elimu yake ya Huko mkwawa Iringa ni Shida?
Unajua sio tatizo mbona hata Magufuli alisoma hapo.
Unakuja na Hitimisho labda amekosa Content ndio maana atafanya juu chini azungumzwe.
Au anadhani ana akili sana kumbe sio.
 
Kua mashabiki wa Simba,Yanga inabidi uwe na ka-utaahira flani ndani yako.
 
Kua mashabiki wa Simba,Yanga inabidi uwe na ka-utaahira flani ndani yako.
Wajinga wachache sana wanataka kuwapangia watu maisha na namna ya kuyafurahia. Utaahira huo unaweza kuulinganisha na ule wa kundi kubwa la mashabiki Old Trafod wakiimba na kurukaruka kuipa morali timu yao? Acheni kupangia watu staili za maisha, regarding amezingatia utu na hakuvunja sheria.

Kaeni mjifunze kuhusu hobby na addiction za soka. Hatujazungumzia mtu kukesha bar akifurahi maisha, hatujazungumzia mtu kutiana na demu wake usiku kucha wakila bata, hatujazungumzia shabiki wa Barca akimwaga chozi Messi kuondoka. Ila tunaona Simba na Yanga wehu kushabikia timu na mambo ya timu zao. Ptuuuuuuu
 
Wajinga wachache sana wanataka kuwapangia watu maisha na namna ya kuyafurahia. Utaahira huo unaweza kuulinganisha na ule wa kundi kubwa la mashabiki Old Trafod wakiimba na kurukaruka kuipa morali timu yao? Acheni kupangia watu staili za maisha, regarding amezingatia utu na hakuvunja sheria.

Kaeni mjifunze kuhusu hobby na addiction za soka. Hatujazungumzia mtu kukesha bar akifurahi maisha, hatujazungumzia mtu kutiana na demu wake usiku kucha wakila bata, hatujazungumzia shabiki wa Barca akimwaga chozi Messi kuondoka. Ila tunaona Simba na Yanga wehu kushabikia timu na mambo ya timu zao. Ptuuuuuuu
Haibadilishi chochote, utaahira uko palepale.
 
Usipoliona tatizo hapo kwenye hizo screenshots mbili basi wewe ni wa kupimwa akili.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-09-21-07-21-18-65.png
    Screenshot_2022-09-21-07-21-18-65.png
    250 KB · Views: 3
  • Screenshot_2022-09-21-09-50-28-72.png
    Screenshot_2022-09-21-09-50-28-72.png
    146.2 KB · Views: 3
Nmeona Ahmed Alli anajisifu ku postiwa mpka nikashangaa
Sasa akijisifu kuwa posted. Wewe unawashwa wapi? Maana sometimes binadamu mnapatwa na kichefu chefu kwa watu ambao hawajawapa hata ujauzito. Mi si mpenzi wa hizi team sana. Ila sometimes naona kama kuna watu wanaumia kwa vitu ambavyo havipaswi kuwaumiza. Mwingine ana furaha yake kwa mambo yake binafsi. WEWE UNAUMIA? WHY?
 
Sasa akijisifu kuwa posted. Wewe unawashwa wapi? Maana sometimes binadamu mnapatwa na kichefu chefu kwa watu ambao hawajawapa hata ujauzito. Mi si mpenzi wa hizi team sana. Ila sometimes naona kama kuna watu wanaumia kwa vitu ambavyo havipaswi kuwaumiza. Mwingine ana furaha yake kwa mambo yake binafsi. WEWE UNAUMIA? WHY?
Inashangaza sana,jitu zima linaumizwa na mtu kuinjoi maisha yake
 
Nmeona Ahmed Alli anajisifu ku postiwa mpka nikashangaa
Hapo ndio point ya Farhan ilipo.. utashangaa umbumbumbu wa hawa ndugu zetu wanapoanza kumshambulia mchambuzi hata Kwa jambo lililo wazi kiasi hiki..
Hawa jamaa baada ya kunyang'anywa makombe yote na Yanga wamekuwa ni watu wakutia huruma sana..
Sasa hivi mafanikio waliyobaki nayo ni kuchukua kombe la kupostiwa page ya caf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo ndio point ya Farhan ilipo.. utashangaa umbumbumbu wa hawa ndugu zetu wanapoanza kumshambulia mchambuzi hata Kwa jambo lililo wazi kiasi hiki..
Hawa jamaa baada ya kunyang'anywa makombe yote na Yanga wamekuwa ni watu wakutia huruma sana..
Sasa hivi mafanikio waliyobaki nayo ni kuchukua kombe la kupostiwa page ya caf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo kosa la Ahmed kujisifia. Huu ujinga ni kuridhi
 
Mkuu wa idara ya habari Simba....
Anafurahia team yake inapata mileage ( wote tunaelewa umuhimu).
Hayo ni mafanikio kwake kama mtu wa habari......
Anakuja mchambuzi ambaye yeye hudhani ana akili anaongea anayoongea.

Unajiuliza tatizo nini? Hupati jibu.....
Elimu yake ya Huko mkwawa Iringa ni Shida?
Unajua sio tatizo mbona hata Magufuli alisoma hapo.
Unakuja na Hitimisho labda amekosa Content ndio maana atafanya juu chini azungumzwe.
Au anadhani ana akili sana kumbe sio.
 
Back
Top Bottom