Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Huwa ni dalili za ushoga hizo. Sisi wanaume huwa kila mtu ana mind his own business. Yaani watu wanaumia Simba kuwa posted? How? Wanaumia Simba kufurahia kuwa posted? How? Wana tabia za kichawi na kishirikina tabia za wanawake wagumba...inashangaza sana.Inashangaza sana,jitu zima linaumizwa na mtu kuinjoi maisha yake
Wewe umewashwa nini na maoni yangu? una mimba?Sasa akijisifu kuwa posted. Wewe unawashwa wapi? Maana sometimes binadamu mnapatwa na kichefu chefu kwa watu ambao hawajawapa hata ujauzito. Mi si mpenzi wa hizi team sana. Ila sometimes naona kama kuna watu wanaumia kwa vitu ambavyo havipaswi kuwaumiza. Mwingine ana furaha yake kwa mambo yake binafsi. WEWE UNAUMIA? WHY?
Issue sio kujisifia unajisifu kitu gani? Club inayo jiita kubwa kujisifu vitu vidogo vidogo ni dalili ya kua bado haijakua kama mnavyo jiaminishaKwa hiyo kosa la Ahmed kujisifia. Huu ujinga ni kuridhi
Ungekua una mind your own business usinge tokwa povu kwa maoni yangu coz are my businessHuwa ni dalili za ushoga hizo. Sisi wanaume huwa kila mtu ana mind his own business. Yaani watu wanaumia Simba kuwa posted? How? Wanaumia Simba kufurahia kuwa posted? How? Wana tabia za kichawi na kishirikina tabia za wanawake wagumba...inashangaza sana.
Mkuu una wivu wa kishamba sana. Yaani unaumia mtu kuifanyia marketing timu yake. Haaa haaaUsipoliona tatizo hapo kwenye hizo screenshots mbili basi wewe ni wa kupimwa akili.
Una uelewa wowote kuhusu marketing?Mkuu una wivu wa kishamba sana. Yaani unaumia mtu kuifanyia marketing timu yake. Haaa haaa
Pumzika tu mkuu,huna cha kunibadilishaUna uelewa wowote kuhusu marketing?
Yani Mimi nione wivu vitu kama hivi? Aisee wewe una shida kichwani.Mkuu una wivu wa kishamba sana. Yaani unaumia mtu kuifanyia marketing timu yake. Haaa haaa
Wivu sio lazima ukose,unakuwa kumuonea wivu mtu kwenye kitu ulichonachoYani Mimi nione wivu vitu kama hivi? Aisee wewe una shida kichwani.
Bila shaka wewe ni UTO, kwenye wenye akili wawili tu!Na huo utaahira wenyewe tunaushuhudia hapa hapa Kwa mleta uzi.
Mkuu nami naelewa ni shabiki wa Simba, namkosoa kama shabiki mwenzangu wa Simba. No hateMkuu OKW BOBAN SUNZU huyu Farhan ashawahi kukiri kua yeye ni shabiki kindaki ndaki wa simba.
Sidhani kama andiko lake lina chuki yoyote ila sana sana amejaribu ku 'express' mawazo yake juu ya akaunti ya CAF kupost hizi timu zetu.
Kumbe ndo maana umeumia simba kupostiwa. Sasa si ungesema tu toka mwanzo?Wewe umewashwa nini na maoni yangu? una mimba?