kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Tanzania haijacheza finali za AFCON kwa miaka mingi kutokana na sababu nyingi sana. Mojawapo ya sababu hizo ni makocha wa timu ya taifa kushinikizwa uteuzi wa wachezaji.
Leo nilimsikia mchambuzi uchwara akihoji ni kwanini mchezaji fulani hakujumuishwa kwenye timu ya taifa iliyocheza na Sudan mechi ya kirafiki ya kimataifa, mchambuzi huyu ameanza kufilisika kichwani.
Kocha wa timu ya taifa anafuatilia wachezaji wote wa timu zote kwenye mechi zote. Tuache kocha afanye kazi yake ili tupate sababu ya kumfukuza badala ya kumshinikiza ampange mpwa wako. Komeni tabia hii ya kijinga.
Mfano, kuna mchambuzi anatokwa na povu kwanini Fei Toto aliachwa kwenye uteuzi badala ya kumtolea povu Fei Toto aongeze juhudi zaidi kiwanjani ili kocha amuone,
Leo nilimsikia mchambuzi uchwara akihoji ni kwanini mchezaji fulani hakujumuishwa kwenye timu ya taifa iliyocheza na Sudan mechi ya kirafiki ya kimataifa, mchambuzi huyu ameanza kufilisika kichwani.
Kocha wa timu ya taifa anafuatilia wachezaji wote wa timu zote kwenye mechi zote. Tuache kocha afanye kazi yake ili tupate sababu ya kumfukuza badala ya kumshinikiza ampange mpwa wako. Komeni tabia hii ya kijinga.
Mfano, kuna mchambuzi anatokwa na povu kwanini Fei Toto aliachwa kwenye uteuzi badala ya kumtolea povu Fei Toto aongeze juhudi zaidi kiwanjani ili kocha amuone,