Wachambuzi wa Clouds FM hawana weledi

Wachambuzi wa Clouds FM hawana weledi

Kama umeshawagundua ni wababaishaji, basi tuufunge huu mjadala. Hamia hiyo redio ya hao wachambuzi unao wakubali. Eddo Kumwembe na huyo George Ambangile.

Kuna lingine?
 
Mleta mada yupo sawa. Kwa kikosi alichonacho Barca au Madrid kwa sasa huwezi kusema wanashinda dhidi ya timu zenye vikosi imara kama PSG,BAYERN na Man City.
Wakati Leicester city wanachukua league epl walikua na kikosi gani kuzidi vingine?
Unaijua Porto iliyochukua Uefa ilikuwaje dhidi ya timu nyingine kama Madrid and the like?
Unakumbuka game ya Liverpool vs Barca 2019? Nani alijua Barca angekufa 4-0? baada ya kuongoza 3-0 huko Nou camp.
Football haijawahi kuwa hivyo.
 
Clouds linapokuja suala la ushabiki wa timu ni Utopolo,Barcelona,na Man U.

Hawajawahi kuwasema vibaya hizo timu hapo juu.Huwa zinapewa ushindi tu.

Wachezaji wao ni Messi, Ronaldo kwao ni wa kawaida.
Tusila kisinda na Sarpong ni wachezaji bora zaidi- tuwape muda.
Kifupi ukiwasikiliza utajua tu watakachoongea linapokuja suala la timu
hizo.
Isipokuwa tu yule mdada wa Kigoma anaipenda Chelsea.
Hauendani kivipi ww umebase kwenye prediction sasa kila sport analysts Ana mtazamo wake wa nani anaeza shinda,sasa tatiZo ni nini apo
 
Clouds linapokuja suala la ushabiki wa timu ni Utopolo,Barcelona,na Man U.

Hawajawahi kuwasema vibaya hizo timu hapo juu.Huwa zinapewa ushindi tu.

Wachezaji wao ni Messi, Ronaldo kwao ni wa kawaida.
Tusila kisinda na Sarpong ni wachezaji bora zaidi- tuwape muda.
Kifupi ukiwasikiliza utajua tu watakachoongea linapokuja suala la timu
hizo.
Isipokuwa tu yule mdada wa Kigoma anaipenda Chelsea.
Huyo mdada wa kigoma anaitwa Nani?
 
Back
Top Bottom