Ndio maana wanatepeteshwa kimataifabahasha ndugu yangu wako wengi sana kwenye payroll ya waarabu na wasomali
Clouds ilikuwa na kipindi bora cha michezo Tanzania ila kwasasa kipindi asipokuwepo Lwambano na Amri kiemba ni hovyo kweli.
Ila ndo anaongoza kwa kulalamika anaonewa na wanamtukana karia kila sikuUbingwa wa Uto kwa ligi kuu una mikono ya marefa kwa asilimia kubwa sana
Ndio maana Uto akienda kimataifa anapata shida sana
Na wewe ni mchambuzi?Leo tumeona jinsi alivyowabeba utopolo na sasa wachambuzi wanachukua muda mrefu sana kuwatetea.
Mpira unatoka nje anaruhusu uendelee na goli linapatikana
Mwamuzi anawanyima penalty ya wazi Azam na anawapa Utopolo penalty ya utata
Anawaacha utipolo wanacheza faulo anapeta wakati akianguka mchezaji wa utopolo kidogo kipenga kinalia.
Morrison anamkanyaga maksudi mchezaji wa Azam huku mwamuzi wa pembeni anaangali na mwamuzi wa kati akiwa karibu na hakuna adhabu yoyote iliyotolewa.
Utopolo mnabebwa sana
sijawahi kuwakubali kabisaaKuna wale madogo Priva na yule Farhan wanajifanya wajuaji kweli ila ni watupu kabisa.
Lwambano hoster mzuri sana! Kyemba ni mchambuzi mtulivu sana utafkiri kasomea mpira DubaiClouds ilikuwa na kipindi bora cha michezo Tanzania ila kwasasa kipindi asipokuwepo Lwambano na Amri kiemba ni hovyo kweli.
Clouds ilikuwa na kipindi bora cha michezo Tanzania ila kwasasa kipindi asipokuwepo Lwambano na Amri kiemba ni hovyo kweli.
Wewe ni pungu, yale magoli ya feisal yametokana na mpira uliotoka?Leo tumeona jinsi alivyowabeba utopolo na sasa wachambuzi wanachukua muda mrefu sana kuwatetea.
Mpira unatoka nje anaruhusu uendelee na goli linapatikana
Mwamuzi anawanyima penalty ya wazi Azam na anawapa Utopolo penalty ya utata
Anawaacha utipolo wanacheza faulo anapeta wakati akianguka mchezaji wa utopolo kidogo kipenga kinalia.
Morrison anamkanyaga maksudi mchezaji wa Azam huku mwamuzi wa pembeni anaangali na mwamuzi wa kati akiwa karibu na hakuna adhabu yoyote iliyotolewa.
Utopolo mnabebwa sana
🦁Mikia Fc mtiti WA Jana unawaumiza roho🤔..Ingekuwa nyie mngekula 5.Leo tumeona jinsi alivyowabeba utopolo na sasa wachambuzi wanachukua muda mrefu sana kuwatetea.
Mpira unatoka nje anaruhusu uendelee na goli linapatikana
Mwamuzi anawanyima penalty ya wazi Azam na anawapa Utopolo penalty ya utata
Anawaacha utipolo wanacheza faulo anapeta wakati akianguka mchezaji wa utopolo kidogo kipenga kinalia.
Morrison anamkanyaga maksudi mchezaji wa Azam huku mwamuzi wa pembeni anaangali na mwamuzi wa kati akiwa karibu na hakuna adhabu yoyote iliyotolewa.
Utopolo mnabebwa sana
Ndio yanalipwa maonezi ya KariaKiufupi refa Ahmed Arajiga mpira ulimshinda, kama si kupuyanga kwa matukio haya.
Penalty ya Dube
Bajana Red Card
Morrison Red Card
Goli la kusawazisha kwa Yanga ilhali mpira ulitoka nje.
Halafu bado kuna Timu ambayo inadai wanaonewa na Karia.!