Wachambuzi wa mchongo wameanza kuwatetea waamuzi

Wachambuzi wa mchongo wameanza kuwatetea waamuzi

Ukitaka kuonekana zuzu, fuatilia mpira wa bongo
 
Leo tumeona jinsi alivyowabeba utopolo na sasa wachambuzi wanachukua muda mrefu sana kuwatetea.

Mpira unatoka nje anaruhusu uendelee na goli linapatikana

Mwamuzi anawanyima penalty ya wazi Azam na anawapa Utopolo penalty ya utata

Anawaacha utipolo wanacheza faulo anapeta wakati akianguka mchezaji wa utopolo kidogo kipenga kinalia.

Morrison anamkanyaga maksudi mchezaji wa Azam huku mwamuzi wa pembeni anaangali na mwamuzi wa kati akiwa karibu na hakuna adhabu yoyote iliyotolewa.

Utopolo mnabebwa sana
Ongelea na card nyekundu ambayo alipaswa kumpa bajana lakini hakumpa!!usiwe kama mwanamke unaleta mipasho tu bila kuangalia uhalisia
 
Back
Top Bottom