Mpaka sasa matumaini pekee ni kuomba timu zaidi ya moja ishindwe kufuzu klabu bingwa msimu ujao ambazo kwenye top ten. Wakati huo huo ni kuomba Setif asinyanyue kombe la klabu bingwa
Wewe jibu hoja,unazunguka nini? Btw tunafanya huu mjadala kwakuwa Simba ipo katika hiyo level,kusingekuwepo na mjadala kama huu endapo Simba ingekuwa kama wale wa Kawaida Utopolo huko