changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
- Thread starter
- #21
Huyo Etoil du Sahel inabuluza mkia kwenye ligi ya wapi? Embu kaangalie vyema msimamo. Kuhusu Setif hata sikuizungumzia kabisa kwasababu yupo chini nafasi ya 13 pamoja na Simba. Tukija kwenye swali lako ulilouliza kuhusu swali lako la msingi la huko juu ni kwamba mpaka sasaMaana hiyo ES Setif ipo nafasi ya 9 kwenye jedwali la msimamo wa ligi kuu ya soka ya Algeria. Etoil du Sahel inaburuza mkia kwenye ligi yao inayohusisha makundi.
Sasa mimi namuuliza unao uhakika hivyo vilabu vilivyo juu ya Simba SC vitamaliza top 2 kwenye ligi yao mpaka afikie hitimisho kwamba nafasi ya Simba SC haipo kwa kuwa miongoni mwa vilabu 10 vitakavyoanza First round instead of preliminary round of CAF. CL?
0.5 FC mmoja anijibu hapa.
# Kati ya Al Ahly, Pyramid na Zamalek wanaweza timu mbili kati hizo tatu zinaweza kucheza klabu bingwa kutokana na msimamo wa ligi yao ilivyo. Yeyote atakayeingia hapo atakuwa na uwezo wa kuanzia raundi ya pili kwasababu tumu zote tatu zimemzidi Simba point.
# Tp Mazembe anaongoza ligi yao
# Petro luanda anaongoza ligi
# Whydad na Raja Casablanca mmoja anaongoza mwingine ni wa pili
# Mamelod anaongoza ligi
# Horaya anaongoza ligi
# Es Tunis anaongoza kundi kwenye ligi yao
#Etoil de Sahel anashika nafasi ya tatu kwenye kundi lake na sio kama ulivyodanganya wewe kuwa anaburuza mkia