Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
Wakuu habari zenu,nimeachakuwasikiliza hawa wachambuzi wa kibongo wa mpira
Nitawasikiliza kama ni kocha wa mpira au mchezaji kama hajawahi kucheza mpira,Sipotezi kumuda kumsikiliza,(ulaya wachambuzi wanaochambua mpira walishacheza mpira ligi zinazoeleweka ).
maana wenyewe wanakuambia hawana timu sasa kama hawana timu wanaangaliaga mechi gani?
Haya kama wanatimu ila ni siri yao,sasa uwezo wakuzijua hizo timu zingine wanautoa wapi? Maana hawajanizidi kwa kuangalia mechi za timu yangu ambayo ni tofauti na timu yake anayosema ni siri yake,
Mfano me ni shabiki wa Liverpool mechi zote za Liverpool lazima niangalie hata kama anacheza na timu ndogo
Nauwezo wa kuijua timu yangu,yeye aangalii mechi zote baadhi tu ndio anaangalia
Halafu mwisho wa siku anakuja kukuambia uchambuzi wake timu yako itafungwa kwa sababu ya moja mbili tatu na wakati wewe timu unaangalia mechi zote hata iwesaa kumi na moja ya asubuhi (mechi za preseason) lazima uangalie
Nimeachakuwasikiliza wachambuzi wasio na tahaluma ya ukocha na wasio cheza kwenye ligi kuu.
Jana nilikuwa nasikia kwenye radio mchambuzi mmoja anawauliza wenzake vipi mechi ya man city na Liverpool unabet wapi hiyo? Mmoja akajibu weka lazima kutakuwa na magoli mengi hiyo mechi hawatokagi draw bila ya goli.
Msimu uliopita walikutana mechi 4,kwenye mechi hizo kumekuwa na goli 18,
Nimeangalia mechi imeisha Liverpool vs man city wametoka sare ya bila ya kufungana hata goli yaani 0-0.
Sasa najiuliza hivi wanakuwaga wanafatiliaga hizo mechi za timu husika au wanaogea tu kwa mazoea? Nimeachakuwa sikiliza
Nawasilisha.
Nitawasikiliza kama ni kocha wa mpira au mchezaji kama hajawahi kucheza mpira,Sipotezi kumuda kumsikiliza,(ulaya wachambuzi wanaochambua mpira walishacheza mpira ligi zinazoeleweka ).
maana wenyewe wanakuambia hawana timu sasa kama hawana timu wanaangaliaga mechi gani?
Haya kama wanatimu ila ni siri yao,sasa uwezo wakuzijua hizo timu zingine wanautoa wapi? Maana hawajanizidi kwa kuangalia mechi za timu yangu ambayo ni tofauti na timu yake anayosema ni siri yake,
Mfano me ni shabiki wa Liverpool mechi zote za Liverpool lazima niangalie hata kama anacheza na timu ndogo
Nauwezo wa kuijua timu yangu,yeye aangalii mechi zote baadhi tu ndio anaangalia
Halafu mwisho wa siku anakuja kukuambia uchambuzi wake timu yako itafungwa kwa sababu ya moja mbili tatu na wakati wewe timu unaangalia mechi zote hata iwesaa kumi na moja ya asubuhi (mechi za preseason) lazima uangalie
Nimeachakuwasikiliza wachambuzi wasio na tahaluma ya ukocha na wasio cheza kwenye ligi kuu.
Jana nilikuwa nasikia kwenye radio mchambuzi mmoja anawauliza wenzake vipi mechi ya man city na Liverpool unabet wapi hiyo? Mmoja akajibu weka lazima kutakuwa na magoli mengi hiyo mechi hawatokagi draw bila ya goli.
Msimu uliopita walikutana mechi 4,kwenye mechi hizo kumekuwa na goli 18,
Nimeangalia mechi imeisha Liverpool vs man city wametoka sare ya bila ya kufungana hata goli yaani 0-0.
Sasa najiuliza hivi wanakuwaga wanafatiliaga hizo mechi za timu husika au wanaogea tu kwa mazoea? Nimeachakuwa sikiliza
Nawasilisha.