BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Vipindi vya michezo vimekuwa vingi kwenye televisheni na radio licha ya kuwa vingi ni miongoni mwa vipindi vyenye muda mrefu; kwa makadirio vinachukua muda wa masaa mawili mpaka matatu kwa msingi huo usishangae kila kijiwe story zikiwa Simba na Yanga, Dewji na GSM, Ntibanzokiza na Mayele.
Wachambuzi wa soka wamekuwa wengi na wenye mafanikio in terms of Majina yao na Financial status zao. Twende kwenye facts Soka linagusa sehemu ya maisha ya watu wachache kulinganisha na siasa ambayo inagusa maisha ya kila mtu katika hali ya kawaida ilipaswa siasa ijadiliwe sana na ipewe airtime kubwa na pawepo wachambuzi wengi wa kisiasa ambao watatoa mapendekezo yao yatakayopelekea serikali kuchukua hatua zitakazoleta tija kwenye maisha ya kila Mtanzania.
Wachambuzi wa soka wamekuwa wengi na wenye mafanikio in terms of Majina yao na Financial status zao. Twende kwenye facts Soka linagusa sehemu ya maisha ya watu wachache kulinganisha na siasa ambayo inagusa maisha ya kila mtu katika hali ya kawaida ilipaswa siasa ijadiliwe sana na ipewe airtime kubwa na pawepo wachambuzi wengi wa kisiasa ambao watatoa mapendekezo yao yatakayopelekea serikali kuchukua hatua zitakazoleta tija kwenye maisha ya kila Mtanzania.