Wachambuzi Wa Soka ni Mzigo kwa sekta ya michezo

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Wachambuzi: mechi zidi ya watunisi! Nabi Sio Kocha wa mechi za kimataifa, Yanga wanapaswa kutafuta Kocha mwingine wa kuwavusha!

Baada ya gemu na Tp Mazembe! Wachambuzi Nabi ni Kocha wa kimataifa, angalia namna anafanya sub zake, timu inacheza vizuri kila eneo!
Hawa jamaa😁
Wa
 
Wapo kazini hao kutetea tumbo, kwahivyo kuchambua hovyo hovyo bora liende usishangae.
 
Napenda kusikiliza redio kwenye gari. Kila nikifungua redio,kila kipindi kina slot ya michezo. Halafu ni redio zote. Hawa wachambuzi wataanza kubishana hapo mpaka nazima redio. Hawachambui chochote zaidi ya kubishana mwanzo mwisho!
 
Sas
Bongo tuna wasimuliaji wa matukio baada ya mechi ambao wanachanganya kingereza na kiswahili kunogesha masimulizi yao ila hatuna wachambuzi
Sasa afadhali wajue hicho kiingereza unakuta mtu anaingiza neno la kiingereza halina mantiki yoyote na anachoongelea.
Halafu mtu awaambie UCHOVU ni FATIGUE(FATIG) SIO FATIKI
 
Kwa bahati mbaya sana uchambuzi wa soka letu ni kiki, wachambuzi wanaotrend mitandaoni ila kwenye uchambuzi ni bure. Kuna baadhi ya wachambuzi ni wazuri ila hawako active sana mitandaoni. Binafsi huwa nauelewa sana uchambuzi wa Ramadhan mwaduke
 
Kwa bahati mbaya sana uchambuzi wa soka letu ni kiki, wachambuzi wanaotrend mitandaoni ila kwenye uchambuzi ni bure. Kuna baadhi ya wachambuzi ni wazuri ila hawako active sana mitandaoni. Binafsi huwa nauelewa sana uchambuzi wa Ramadhan mwaduke
Mjanja mjanja wa takwimu
 
WAPUMBAVU HAO HASA JEMEDARI SAIDI {MWANGA/MCHAWI} NA MWENZAKE ORUMA{MINJINO}
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…