Wachambuzi wa vita ya Middle East mnanishangaza sana!

Wachambuzi wa vita ya Middle East mnanishangaza sana!

mutacy

Member
Joined
Sep 13, 2024
Posts
25
Reaction score
32
Ni suala la ajabu sana kwa mtanzania anayeishi Tanzania na HALI hii ya maishà, eti naye anafanya propaganda ya vita vya mashariki ya kati.

Kama kweli una akili si ufanye propaganda ya kuondoka umasikini unao kukabili.

Ukiona habari hata hujaihakikisha unawahi kupost, wakati huu wa vita huwezi kuamini BBC, skynews, Al Jazeera na social media za magharibi na middle east mpaka ufanye utafiti wa kutosha.

Mfano Jana usiku mtu mmoja kapost Irani amerusha makombora 300, sijui hii taarifa aliitoa wapi. Kama hujui kimombo na namba hujui, kwa kweli upo uzushi mwingi.

Nimeanza kufuatilia jamii forums mwaka 2014, tangu mwaka huo sijawahi kupost chochote, na si kwamba sijui kuzusha naheshimu wasomaji nisije nikapost utumbo.
Turudi kwenye akili zetu kidogo.

Mashariki ya kati ni sehemu muhimu sana Kwa sababu ndio chimbuko la dini kuu tatu ambazo zinagusa wanadamu wa mabara yote, hivyo usicheze na hisia na Imani za watu. Kama ni ushabiki liko jukwaa la michezo.

Acha michezo utaumia
 
ndugu mwandishi,umetuumiza macho.
 
Ukiachilia mbali uandishi wako nakuhakikishia umeandika point sana
 
Naitwa Lucha A.K.A Ayatollah Khomeini kuwa makini na kauli zako
 
Ni suala la UJINGA wa KIWANGO Cha juu kanisa mtanzania anayeishi Tanzania na HALI hii ya maishà, eti naye anafanya propaganda ya vita vya mashariki ya kati. Kama kweli una akili so ufanye propaganda ya kuondoka umasikini unao kukabili au UJINGA huo ambayo umegomea humo kichwani mwako miaka yote hiyo. Ukiona habari hata hujaihakikisha unawahi kupost, wakati huu wa vita huwezi kuamini BBC, skynews, Al Jazeera na social media za magharibi na middle east mpaka hufanye utafiti wa kutosha. Mfano Jana usiku mtu mmoja kapost Irani amerusha makombora 300, sijui hii taarifa aliitoa wapi. Kama hujui kimombo na namba hujui, Kwa kweli hupo uzushi mwingi. Nimeanza kufuatilia jamii forums mwaka 2014, yangu mwaka huo sijawahi kupost chochote, na si kwamba sijui kuzusha naheshimu wasomaji nisije nikapost utumbo, turudi kwenye akili zetu kidogo. Mashariki ya kati ni sehemu muhimu sana Kwa sababu ndio chimbuko la dini KUU tatu ambazo zinagusa wanadamu wa mabara yote, hivyo usicheze na hisia na Imani za watu. Kama ni ushabiki liko jukwaa la michezo. Acha michezo utaumia
Mkuu tupe mrejesho sasa we kingereza s fresh,,,
 
Ni suala la ajabu sana kwa mtanzania anayeishi Tanzania na HALI hii ya maishà, eti naye anafanya propaganda ya vita vya mashariki ya kati.

Kama kweli una akili si ufanye propaganda ya kuondoka umasikini unao kukabili.

Ukiona habari hata hujaihakikisha unawahi kupost, wakati huu wa vita huwezi kuamini BBC, skynews, Al Jazeera na social media za magharibi na middle east mpaka ufanye utafiti wa kutosha.

Mfano Jana usiku mtu mmoja kapost Irani amerusha makombora 300, sijui hii taarifa aliitoa wapi. Kama hujui kimombo na namba hujui, kwa kweli upo uzushi mwingi.

Nimeanza kufuatilia jamii forums mwaka 2014, tangu mwaka huo sijawahi kupost chochote, na si kwamba sijui kuzusha naheshimu wasomaji nisije nikapost utumbo.
Turudi kwenye akili zetu kidogo.

Mashariki ya kati ni sehemu muhimu sana Kwa sababu ndio chimbuko la dini kuu tatu ambazo zinagusa wanadamu wa mabara yote, hivyo usicheze na hisia na Imani za watu. Kama ni ushabiki liko jukwaa la michezo.

Acha michezo utaumia
Umewafokea vya kutosha waesraeli weusi ,kazi kwao kukaa mbali na kauzi kako
 
Baada ya Iran kushambulia Israeli Jana baadhi ya watu mmekua wakali sana mpaka kuanza kufokeana bila sababu hapa JF hiki kitendo sijakipenda kabisa.mbona huko nyuma wakati Israeli anaua watu Lebanon na Gaza hamkuwa mnatufokea?
 
Ushabiki wa vita hivi umekithiri humu Jamvini kama ilivyokuwa katika media platforms zingine kubwa Duniani


Hatahivyo, najua, Watanzania hawahusiki na ushabiki huu.
 
Back
Top Bottom