Wachambuzi wanachambua sana Yanga Sc vs Mamelodi Fc kuliko mchezo wa Simba sc vs Al Ahly

Wachambuzi wanachambua sana Yanga Sc vs Mamelodi Fc kuliko mchezo wa Simba sc vs Al Ahly

Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima kichwani Zinaanza kupungua

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA,
HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA WATANZANIA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
Wewe umepona lini gonjwa hili baya?
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima kichwani Zinaanza kupungua

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA,
HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA WATANZANIA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
TOKA MPIGWE KONO LA NYANI AKILI YAKO HAIPO SAWA KABISA[emoji16]
 
Kila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.

Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.

Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
Simba vs Al Ahly hakuna Cha ajabu. Washacheza mara kibao tu hivi karibuni, Simba akishinda, Ahly akishinda na suluhu pia. Kwa hiyo limekua ni jambo la kawaida tu (Mtu kula Samaki).

Ila Yanga vs Mamelody hili ni jambo geni kidogo. Yanga ilichezaga na Mamelody ya kipindi kile ambayo haikua ikitisha sana. Sababu ni timu ambazo hazijuani imekua issue kidogo (Samaki kula mtu).
 
Kila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.

Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.

Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
Hao wachambuzi wa mchele aki Jemedari Said mbwiga wa mbwiga na wenzie.
 
baada miaka 28 ndio marahii Yanga inatinga robo cafcl,tofauti na Simba ambao kilamwaka wamo.
ushaelewa?
Miaka 50 Chelsea SC ndiyo ikacheza fainali za UEFA champions league kwa mara ya kwanza 2012 ikiwa ilishatanguliwa na Arsenal SC 2006, hatimaye Chelsea SC ilinyakua ubingwa wa SC ikabeba tena 2021 hadi klabu bingwa ya dunia 2022 January.

Kamwe usikariri maisha, kutangulia si kufika.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Miaka 50 Chelsea SC ndiyo ikacheza fainali za UEFA champions league kwa mara ya kwanza 2012 ikiwa ilishatanguliwa na Arsenal SC 2006, hatimaye Chelsea SC ilinyakua ubingwa wa SC inabeba tena 2021 hadi klabu bingwa ya dunia 2022 January.

Kamwe usikariri maisha, kutangulia si kufika.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
maneno ya kiswahili unayapeleka kwenye soka la Duniani huko.we vipi bana.
 
Mechi ya Simba na Al Ahaly imesha zoeleka ndo maana watu hawa ichambui sana.
 
Kila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.

Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.

Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
kwa sababu mechi ya simba haina mvuto
 
Back
Top Bottom