Mtu mfupi anaitwa Marcello Allender injini ya Mamelodi huyo anaamua timu iende kwa mwendo na speed gani wafumbe macho au warudi reverse
[emoji91] [emoji38][emoji2303]
View attachment 2943695[/
Glenn
Wewe umepona lini gonjwa hili baya?Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima kichwani Zinaanza kupungua
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA,
HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA WATANZANIA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
TOKA MPIGWE KONO LA NYANI AKILI YAKO HAIPO SAWA KABISA[emoji16]Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima kichwani Zinaanza kupungua
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA,
HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA WATANZANIA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
Simba vs Al Ahly hakuna Cha ajabu. Washacheza mara kibao tu hivi karibuni, Simba akishinda, Ahly akishinda na suluhu pia. Kwa hiyo limekua ni jambo la kawaida tu (Mtu kula Samaki).Kila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.
Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.
Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
Sababu kubwa ya kuichambua hiyo mechi ni hiyo uliyosema hapo mwisho, Yanga itafungwa kwa kipigo kikubwaKila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa
Kila siku yupo kwenye nyuzi za Mpira harafu anajiona sio mshabiki...Wewe umepona lini gonjwa hili baya?
Hao wachambuzi wa mchele aki Jemedari Said mbwiga wa mbwiga na wenzie.Kila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.
Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.
Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
Miaka 50 Chelsea SC ndiyo ikacheza fainali za UEFA champions league kwa mara ya kwanza 2012 ikiwa ilishatanguliwa na Arsenal SC 2006, hatimaye Chelsea SC ilinyakua ubingwa wa SC ikabeba tena 2021 hadi klabu bingwa ya dunia 2022 January.baada miaka 28 ndio marahii Yanga inatinga robo cafcl,tofauti na Simba ambao kilamwaka wamo.
ushaelewa?
maneno ya kiswahili unayapeleka kwenye soka la Duniani huko.we vipi bana.Miaka 50 Chelsea SC ndiyo ikacheza fainali za UEFA champions league kwa mara ya kwanza 2012 ikiwa ilishatanguliwa na Arsenal SC 2006, hatimaye Chelsea SC ilinyakua ubingwa wa SC inabeba tena 2021 hadi klabu bingwa ya dunia 2022 January.
Kamwe usikariri maisha, kutangulia si kufika.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mswahili ni yule asiyekubali kushindwa kwa hoja.maneno ya kiswahili unayapeleka kwenye soka la Duniani huko.we vipi bana.
Unaoneaje huruma Timu ambayo ilikufunga Goli Tano?Ouyaaa mtasababisha Uto wasilete timu uwanjani sasa. Yaani mpaka nimeanza kuwaonea huruma.
haya bana siku hazigandi,tusubiri dk 90 tuone.Mswahili ni yule asiyekubali kushindwa kwa hoja.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
kwa sababu mechi ya simba haina mvutoKila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.
Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.
Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
WEKA MZIGO [emoji16]Sababu kubwa ya kuichambua hiyo mechi ni hiyo uliyosema hapo mwisho, Yanga itafungwa kwa kipigo kikubwa