Wachambuzi wanaoleta Takwimu mbovu za Kocha mpya Yanga

Wachambuzi wanaoleta Takwimu mbovu za Kocha mpya Yanga

Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira!

Mpira umebadilika siku hizi…

Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena.

Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio kocha lao

Siku hizi timu nyingi zinaangalia mfumo wa kocha kama unaendana na timu yao…

Huyu kocha pale galaxy ameiunda timu msimu wa kwanza, msimu unaofata boss akauza first eleven yote akaunda tena timu ikawa tishio, msimu ulioisha tena boss akauza kikosi cha kwanza 😅

Soma Pia: Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Imagine mara mbili mfululizo boss anauza top quality players na Ndio maana kocha akaamua kujiuzulu pale Galaxy!

Wana Yanga wenzangu- huyu kocha ni balaa… tujivunie GERMAN MACHINE wetu!
Ameshinda nini cha maana mpaka kuwa kocha mzuri?
 
Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira!

Mpira umebadilika siku hizi…

Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena.

Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio kocha lao

Siku hizi timu nyingi zinaangalia mfumo wa kocha kama unaendana na timu yao…

Huyu kocha pale galaxy ameiunda timu msimu wa kwanza, msimu unaofata boss akauza first eleven yote akaunda tena timu ikawa tishio, msimu ulioisha tena boss akauza kikosi cha kwanza 😅

Soma Pia: Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Imagine mara mbili mfululizo boss anauza top quality players na Ndio maana kocha akaamua kujiuzulu pale Galaxy!

Wana Yanga wenzangu- huyu kocha ni balaa… tujivunie GERMAN MACHINE wetu!
Bandiko limekaa kimpira zaidi kuliko ushabiki. Sijui wachambuzi wamejifunzia wapi hiyo taaluma. Wanaendeshwa zaidi na utimu kuliko facts.
 
Binafsi namuombea heri katika majukumu yake mapya. Kutimuliwa kwa Gamondi kulikuwa ni kwa kujitakia. Hivyo asitafutwe mchawi.
 
Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira!

Mpira umebadilika siku hizi…

Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena.

Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio kocha lao

Siku hizi timu nyingi zinaangalia mfumo wa kocha kama unaendana na timu yao…

Huyu kocha pale galaxy ameiunda timu msimu wa kwanza, msimu unaofata boss akauza first eleven yote akaunda tena timu ikawa tishio, msimu ulioisha tena boss akauza kikosi cha kwanza 😅

Soma Pia: Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Imagine mara mbili mfululizo boss anauza top quality players na Ndio maana kocha akaamua kujiuzulu pale Galaxy!

Wana Yanga wenzangu- huyu kocha ni balaa… tujivunie GERMAN MACHINE wetu!
Mbona mnajieleza sana😆
 
Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira!

Mpira umebadilika siku hizi…

Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena.

Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio kocha lao

Siku hizi timu nyingi zinaangalia mfumo wa kocha kama unaendana na timu yao…

Huyu kocha pale galaxy ameiunda timu msimu wa kwanza, msimu unaofata boss akauza first eleven yote akaunda tena timu ikawa tishio, msimu ulioisha tena boss akauza kikosi cha kwanza 😅

Soma Pia: Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Imagine mara mbili mfululizo boss anauza top quality players na Ndio maana kocha akaamua kujiuzulu pale Galaxy!

Wana Yanga wenzangu- huyu kocha ni balaa… tujivunie GERMAN MACHINE wetu!
Tunamuunga mkono na uongozi pia.
 
Chikola anamsalimia sana kocha wenu mpya kasema niwape ujumbe mumfikishie salamu.
 
Mpira wa bongo hautagemei kocha Sana unataka rushwa ndio maana ukitaka kutupima vizuri na Mpira wetu tupeleke kimataifa utaona povu linapotutoka utakuta huyu anasema kafika robo mara kavaa medali waulize vikombe vya CAF hawana
 
Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira!

Mpira umebadilika siku hizi…

Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena.

Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio kocha lao

Siku hizi timu nyingi zinaangalia mfumo wa kocha kama unaendana na timu yao…

Huyu kocha pale galaxy ameiunda timu msimu wa kwanza, msimu unaofata boss akauza first eleven yote akaunda tena timu ikawa tishio, msimu ulioisha tena boss akauza kikosi cha kwanza 😅

Soma Pia: Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Imagine mara mbili mfululizo boss anauza top quality players na Ndio maana kocha akaamua kujiuzulu pale Galaxy!

Wana Yanga wenzangu- huyu kocha ni balaa… tujivunie GERMAN MACHINE wetu!
Huwezi kuwalaumu wachambuzi hasa kuhusiana na daraja wanalompa Sead Ramovic kwa kutumia rekodi zake, kwani ndivyo uwezo wa kocha unavyopimwa.

Pia, hukumu ya wachambuzi inampata kutokana na kocha anayemrithi, ni kama Yanga wametoa bunduki wakaweka kirungu. Kwani Gamondi ni bora kuliko Ramovic.

Ramovic ni kocha mchanga sana kwa Gamondi aliyepata mafanikio katika ligi kubwa za Afrika, akitwaa mataji na kujenga timu zisizofungika kirahisi uwanja wa nyumbani.

Mafanikio ya Ramovic ni kucheza kufikia fainali ya Carling Knockout Cup. Kwa daraja la Yanga, huyu kocha ni kama amekuja kujifunza uzoefu kupitia Yanga.

Ova
 
Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira!

Mpira umebadilika siku hizi…

Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena.

Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio kocha lao

Siku hizi timu nyingi zinaangalia mfumo wa kocha kama unaendana na timu yao…

Huyu kocha pale galaxy ameiunda timu msimu wa kwanza, msimu unaofata boss akauza first eleven yote akaunda tena timu ikawa tishio, msimu ulioisha tena boss akauza kikosi cha kwanza 😅

Soma Pia: Rasmi: Sead Ramovic amrithi Gamondi! Atangazwa kuwa Kocha Mkuu mpya wa Yanga

Imagine mara mbili mfululizo boss anauza top quality players na Ndio maana kocha akaamua kujiuzulu pale Galaxy!

Wana Yanga wenzangu- huyu kocha ni balaa… tujivunie GERMAN MACHINE wetu!
Basi Mmekwisha Utopolo vipigo mfululizo vitawahusu
 
HAKUNA KOCHA MBOVU WACHEZAJI NDIO KILA KITU,

MIMI NACHUKUA UBINGWA EPL NIKIWA NA KIKOSI CHA ARSENAL AU MANCITY.

GAMONDI AU GADIOLA UKIMPELEKA PAMBA INASHUKA DARAJA.
 
Back
Top Bottom