OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Nov 16, 2024 #41 Ukimaliza kuchambua kocha, uchambue wazee mixer na shisha, bata na sindano bila kusahau ndumba
J johsee JF-Expert Member Joined Nov 17, 2015 Posts 580 Reaction score 1,152 Nov 16, 2024 #42 princess ariana said: Wachambuzi wanakwambia hajawahi kufika top 4 Psl /Hajawahi kucheza CAFCL /anashika mkia Psl πππ Ifike mahala tuwaache kama walivyo.. mi nmewaambia tu bado hawajasema Click to expand... Hizo takwimu ni za uongo au ukweli ili tujue kosa la wachambuzi kwanza
princess ariana said: Wachambuzi wanakwambia hajawahi kufika top 4 Psl /Hajawahi kucheza CAFCL /anashika mkia Psl πππ Ifike mahala tuwaache kama walivyo.. mi nmewaambia tu bado hawajasema Click to expand... Hizo takwimu ni za uongo au ukweli ili tujue kosa la wachambuzi kwanza
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Nov 16, 2024 #43 Yule kocha wa Simba alikuja akiwa msaidizi wa mtu,Simba pale ndiyo nafasi ya kwanza kama kocha mkuu
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Nov 16, 2024 #44 OKW BOBAN SUNZU said: Ukimaliza kuchambua kocha, uchambue wazee mixer na shisha, bata na sindano bila kusahau ndumba Click to expand... Hao hao wazee ndiyo wanakunyima usingizi,wanakubutua kila ukiingia kinyume nyume
OKW BOBAN SUNZU said: Ukimaliza kuchambua kocha, uchambue wazee mixer na shisha, bata na sindano bila kusahau ndumba Click to expand... Hao hao wazee ndiyo wanakunyima usingizi,wanakubutua kila ukiingia kinyume nyume