MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Tumewazungumzia sana kizazi hiki cha wachambuzi wetu ambacho pia kinachangia kuharibu mpira wetu na hasa michezo isiyo soka alafu wao ndio mabingwa wa ulalamishi kwenye media zao. Yapo maeneo waliyofanya vizuri lakini sitaki kugusia huko.
Kuna kelele nyingi zilizoanza jana juu ya usajili wa Simba& Yanga zinazochochewa na habari hewa za wachambuzi wetu kwa staili ya copy and paste. Kila mchambuzi anajaribu kutaka kuonesha ana "exclusive" kwa habari za kihuni tu zisizo na source au hata kuandikwa kiweledi.
Nchi majuzi imetia aibu kwenye Olympics lakini si issue kwao zaidi ya kugusia kwa juu juu tu lakini mambo ya umbea wa usajili ndio wamejikitita tena wakirudia yale yale! Hivi hao wachezaji wanaowaniwa ni habari mpya? Nendeni kwenye page zao habari hiyo wanapost hadi leo kama kitu kipya! Ushabiki tu!
Tuna tatizo kubwa la creativity na udhubutu. Mfano mdogo ni miaka ya nyuma akina Masoud Masoud kule radio uhuru walibuni kipindi cha miziki ya zamani tena ile ya akina Mbaraka Mwinshehe, Juwata jazz band n.k kikavutia watu sana hadi radio zote zikaanza program ya vipindi hivyo ikiwemo Clouds! Baadae hizo program zimekufa! Sababu walitembea na upepo na si vision.
Kwanini michezo mingine inazungumzwa kwa staili ya kuzugazuga ili kipindi kisionekane ni soka tupu? Kwanini hatuwajibishani kwa kuelezana ukweli hata kwenye michezo kwa aibu ya Olympics?
Umbea umbea wa kipumbavu ndio Big ajenda sababu mnautengeneza wenyewe nyie wachambuzi alafu mnataka kutuaminisha ndicho wanachotaka wananchi. Shirikishoni kuna mgombea mmoja tu kwa namna ambayo ni very questionable lakini who cares?
Asilimia kubwa ya hawa wachambuzi wapo kwenye mainstream media maana yake ndio wanaoamua jamii ilishwe nini! Lakini nao wapo kwenye mazogo ya vijiweni!
Shame on you!
Tumewazungumzia sana kizazi hiki cha wachambuzi wetu ambacho pia kinachangia kuharibu mpira wetu na hasa michezo isiyo soka alafu wao ndio mabingwa wa ulalamishi kwenye media zao. Yapo maeneo waliyofanya vizuri lakini sitaki kugusia huko.
Kuna kelele nyingi zilizoanza jana juu ya usajili wa Simba& Yanga zinazochochewa na habari hewa za wachambuzi wetu kwa staili ya copy and paste. Kila mchambuzi anajaribu kutaka kuonesha ana "exclusive" kwa habari za kihuni tu zisizo na source au hata kuandikwa kiweledi.
Nchi majuzi imetia aibu kwenye Olympics lakini si issue kwao zaidi ya kugusia kwa juu juu tu lakini mambo ya umbea wa usajili ndio wamejikitita tena wakirudia yale yale! Hivi hao wachezaji wanaowaniwa ni habari mpya? Nendeni kwenye page zao habari hiyo wanapost hadi leo kama kitu kipya! Ushabiki tu!
Tuna tatizo kubwa la creativity na udhubutu. Mfano mdogo ni miaka ya nyuma akina Masoud Masoud kule radio uhuru walibuni kipindi cha miziki ya zamani tena ile ya akina Mbaraka Mwinshehe, Juwata jazz band n.k kikavutia watu sana hadi radio zote zikaanza program ya vipindi hivyo ikiwemo Clouds! Baadae hizo program zimekufa! Sababu walitembea na upepo na si vision.
Kwanini michezo mingine inazungumzwa kwa staili ya kuzugazuga ili kipindi kisionekane ni soka tupu? Kwanini hatuwajibishani kwa kuelezana ukweli hata kwenye michezo kwa aibu ya Olympics?
Umbea umbea wa kipumbavu ndio Big ajenda sababu mnautengeneza wenyewe nyie wachambuzi alafu mnataka kutuaminisha ndicho wanachotaka wananchi. Shirikishoni kuna mgombea mmoja tu kwa namna ambayo ni very questionable lakini who cares?
Asilimia kubwa ya hawa wachambuzi wapo kwenye mainstream media maana yake ndio wanaoamua jamii ilishwe nini! Lakini nao wapo kwenye mazogo ya vijiweni!
Shame on you!