Wachambuzi wetu wa soka badilikeni!

Ambangile yupo vizuri sana kichwani laiti angetumia page zake za mitandao ya kijamii kuanalyse mechi za nyumbani kama ilivyo za Ulaya tungepata unbiased analysis bora zaidi kuliko hata yale mambo 10 ya Ali Kamwe.

Mimi nadhani George namwelewa sana kwa sababu siyo mfatiliaji wa soka letu kivile. Nikipata matokeo inatosha.

Kuna wakati nashindwa kutofautisha kwa sababu ni yeye pekee nayemfatilia kwa ukaribu. Namwelewa sana jamaa.
 
Binafsi Mchambuzi ninayemkubali bongo ni Ramadhan Mbwaduke wa Sports AM cha Azam Sports tv

Anajua kufanya análysis vizuri sn, takwimu na uelewa mpana wa mambo ya Soka na kanuni zake

Nakumbuka alitudadavulia sana vifungu na kanuni kuhusiana na sakata la mashtaka ya Kichuya na Simba from CAF ilhali wachambuzi wengi siku hiyo waliishia kutoa uelewa tofauti wa ile hukumu ya CAF
 
Umeongea kitu cha ukweli kabisa..
Edo anajifanya insta celeb..

Shafii angalau kidogo ..
Ila Kwa ujumla hatuna kabisa wachambuzi..

Ombwe ni kubwa sana
 
Kuna kipuuzi kinajiita privadinho ni kibishi sana kina kiherehere mnooo ila nimweupe santaa
Dah! aisee sina cha kusema zaidi hiki kimtu ni takataka....nilishawahi kuwa nime kifollow huko twitter,nikawa sikielewi...kuna siku nikakuta kimeandika mipasho kabisa kwenda kwa nani sikumbuki..nikaki unfollow faster na tofali juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…