Barafu Ni konda wa bombardierKwa facts namkubali barafu kwenye secta ya Aviation
Hao ni wachangiaji au waleta mada za ajabu.kabla mwaka haujaisha, ningependa kila mtu aseme mtu ambae amekua bora kwake katika uchangiaji, kuchekesha pamoja na pumba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ukiachana na kiduku lillo, naanza na huyu jamaa amepotea sana mzee wa kuchakata papuchi,
ZERO IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeniwahi mkuu.Aisee kuna mchzi anaitwa mkwepu jr huyu jamaa anatembeza likes kama ukoma much respect Buddieeh...[emoji1548][emoji1535]
Mkuu ukipewa "like" unafurahi sana?Umeniwahi mkuu.
mkwepu jr ana like hadi raha.
Apewe special recognition awards for the outstanding liking. [emoji23][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app