Aisee kuna mchzi anaitwa mkwepu jr huyu jamaa anatembeza likes kama ukoma much respect Buddieeh...💪🏿✊🏿
Mkuu inaoneka ni mtu wa gambe sana eeh!😅😅😅😅🙌🚶🏿🚶🏿🚶🏿
kwa nini mkuu?🤣😂😂😂😂😂😂😂😂Mkuu inaoneka ni mtu wa gambe sana eeh!😅😅😅😅🙌🚶🏿🚶🏿🚶🏿
kwa nini mkuu?🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
. Zero IQ. Huyu dogo ni zaidi ya comedian sijui kapotelea wapi.Kabla mwaka haujaisha, ningependa kila mtu aseme mtu ambaye amekuwa bora kwake katika uchangiaji, kuchekesha pamoja na pumba.
Ukiachana na Kiduku Lilo, naanza na huyu jamaa amepotea sana mzee wa kuchakata papuchi
ZERO IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, thanks for recognition. I'm very humbled by that.Kuna mkuu anaitwa Infantry Soldier uwa anatoa madini sana.
Taifa lingetumia nguvu kazi kama hizi kuja na mambo mazuri kwa maendeleo yetu.
Nimekupa "like"... Furaha yako izid ongezeka
Apewe heshima ya likes kwakweliAisee kuna mchzi anaitwa mkwepu jr huyu jamaa anatembeza likes kama ukoma much respect Buddieeh...💪🏿✊🏿
Apewe heshima ya likes kwakweli
Okay thanks. Ninashukuru sana. Ila ninaomba pia mnikosoe pale ninapokosea kwa maana mimi pia ni binadamu sijakamilika kwa 100%Kuna mkuu anaitwa Infantry Soldier uwa anatoa madini sana.
Taifa lingetumia nguvu kazi kama hizi kuja na mambo mazuri kwa maendeleo yetu.
Kiduku Lilo ulimfahamia wapi? Dah huyu ni jamaa yangu sana, kipindi hicho anaishi Temeke Wailes Sisi tunakaa Maduka 2 kota za reli. Jamaa anapenda totoz za bei chee sijawahi kuona. Asisikie nyumba yenye beki 3. Alishawahi uza redio yao Memory Q kisa house girl wa kimakonde.Kabla mwaka haujaisha, ningependa kila mtu aseme mtu ambaye amekuwa bora kwake katika uchangiaji, kuchekesha pamoja na pumba.
Ukiachana na Kiduku Lilo, naanza na huyu jamaa amepotea sana mzee wa kuchakata papuchi
ZERO IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiduku Lilo ulimfahamia wapi? Dah huyu ni jamaa yangu sana, kipindi hicho anaishi Temeke Wailes Sisi tunakaa Maduka 2 kota za reli. Jamaa anapenda totoz za bei chee sijawahi kuona. Asisikie nyumba yenye beki 3. Alishawahi uza redio yao Memory Q kisa house girl wa kimakonde.