Wachangiaji bora wa mwaka

Wachangiaji bora wa mwaka

Aisee kuna mchzi anaitwa mkwepu jr huyu jamaa anatembeza likes kama ukoma much respect Buddieeh...💪🏿✊🏿
8FC894B6-2152-4412-8E5E-9C09434C37D2.png
 
Kabla mwaka haujaisha, ningependa kila mtu aseme mtu ambaye amekuwa bora kwake katika uchangiaji, kuchekesha pamoja na pumba.

Ukiachana na Kiduku Lilo, naanza na huyu jamaa amepotea sana mzee wa kuchakata papuchi

ZERO IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiduku Lilo ulimfahamia wapi? Dah huyu ni jamaa yangu sana, kipindi hicho anaishi Temeke Wailes Sisi tunakaa Maduka 2 kota za reli. Jamaa anapenda totoz za bei chee sijawahi kuona. Asisikie nyumba yenye beki 3. Alishawahi uza redio yao Memory Q kisa house girl wa kimakonde.
 
Kiduku Lilo ulimfahamia wapi? Dah huyu ni jamaa yangu sana, kipindi hicho anaishi Temeke Wailes Sisi tunakaa Maduka 2 kota za reli. Jamaa anapenda totoz za bei chee sijawahi kuona. Asisikie nyumba yenye beki 3. Alishawahi uza redio yao Memory Q kisa house girl wa kimakonde.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom