Kama umeshatengeneza cover page, una ISBN ambayo inapatikana maktaba ya taifa kwa 20k..
Itategemea kama unataka kitabu kisajiliwe COSOTA kwa ajili copyrights ambayo gharama zake sidhani kama inazidi 50k kwa kila kitu
Kuhusu bei, vitabu vinatofautiana kwa ukubwa kwa kuangalia ina pages ngapi lakini pia urefu na upana wa karatasi zake
Kama utaprint kwa A5, inakuwa cheaper ambacho kitabu cha page 100 kinaweza kisizidi 5,000 ila kwa jinsi unavyoongeza copies unazochapa na ndivyo bei inavyozidi kinapungua.
Printers ni wengi kariakoo hivyo lazma upewe direction ni wapi uchapishe kwa ajili ya ubora 🙏🏽