Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,160
- 1,359
Natumaini wote mnaendelea vizuri?
Kwa heshima na taadhima naombeni kama kuna mwandishi au mchapishaji anisaidie kupata mchapishaji wa vitabu kwa bei nafuu,yaani anipe mapendekezo ya wachapishaji kadhaa ambao ni very affordable.
Lengo ni kutoa vitabu vyangu viwili nikiwa huru, yaani nitauza mwenyewe.
Kwa heshima na taadhima naombeni kama kuna mwandishi au mchapishaji anisaidie kupata mchapishaji wa vitabu kwa bei nafuu,yaani anipe mapendekezo ya wachapishaji kadhaa ambao ni very affordable.
Lengo ni kutoa vitabu vyangu viwili nikiwa huru, yaani nitauza mwenyewe.