kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Yaani huyu mchambuzi maandazi anapanga na kumuacha Luiz,akidhani huu ujinga wake benchi la ufundi litauchukua ila Yanga wapate nafuu!
Kwa taarifa yenu Luiz ni lazima aanze,labda kama anaumwa.Asipoanza na tukafungwa hiyo kocha ajue ana wakati mgumu sana hapo Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa yenu Luiz ni lazima aanze,labda kama anaumwa.Asipoanza na tukafungwa hiyo kocha ajue ana wakati mgumu sana hapo Simba
Sent using Jamii Forums mobile app