Wachekeshaji wakali Tanzania kwa sasa

Deogratius wa Cheka.Tu
Mtoto wa mama mboya.


Comedy iko so wide, mleta mada yeye ametaja wa kwake. Deo na cheka tu wanafanya stand up comedy, haihitaji kuvaa kiajabu ajabu.

Jay Mond alijaribu cheka tu pakamshinda

Watu wakiwajua wale jamaa wataona watu walivo jaliwa vipaji
 
List yangu
1.Oka martin & Official Carpoza,
Nafkr elimu imewasaidia Sana, wapo advanced Sana
2. Joti
3.Brother K
Huyu Mwamba ni nouma sema Tu Hana exposure ( kule YouTube nafkr ndo anafanya vzur ) insta Hana page ya commedy
4.Mr Beneficial & Bwana mjeshi
5.Jay mond
6.Anko zumo and Mai zumo
Wengine ni Dullvan, Chesco msafi, Dogo sele, claim tz, Steve mweusi, mkali wenu nk

Maufundi, Idris sultan na Yule Dada anayeongea kihaya siwakubali hata kdogo
 
Uswege murderer. Boy is so creative, anacheza na puns balaa lakini anafanya utofauti pia kwenye Music Comedy [hakuna komedi nzuri kama ya word play]. Kwa hio hio sababu namuweka na Idriss.
Mtu anaesema idriss hajui, nakwambiaje... KUFA.

Halafu kuna wale jamaa wa serious funny, wanajua sana.
 
idris is way very complicated. Kumuelewa ni kazi ila rahisi sana. Atakufurahisha tu siku moja.
 
Viziwi wawili @ kina Carpoza wako vizuri sana
 
Ringo
Tin white
Oka na Carpoza
Joti
Mpoki
Katarina wa Karatu
Brother K,alaf kuna machalii wa AR kina Chuga na Mzee ubaya.
 
idris is way very complicated. Kumuelewa ni kazi ila rahisi sana. Atakufurahisha tu siku moja.
Idris kwakweli hana kiwango na si mbunifu.... mi nawaelewaga jamaa wa bongo stand up comedy japo si maarufu ila wanaweza kuliko hata cheka tu
 
sio paaaapi hhahahaa
Bongo kuna watu wako vizuri sema ndo wanaibukia bado hawajawa na majina makubwa....Wakipata majina wababaishaji wote chali...kuna dogo mmoja nilimuonaga arusha pia ni shida sana
 
1. Joti
2. Tin white & Ringo
3. Dullavan
4. Anko Zumo

Ila kwa stand up comedy kuna jamaa wa cheka tu anaitwa Deogratius huyu jamaa ni balaa hata kama umemuna una ma stress kibao lazima utacheka tu.
 
Idris kwakweli hana kiwango na si mbunifu.... mi nawaelewaga jamaa wa bongo stand up comedy japo si maarufu ila wanaweza kuliko hata cheka tu
System imem-favor idris ila on the other hand anajua pia. Asingeitwa Central Comedy kama angekua mbabaishaji.
Nakubaliana na wewe kuna talents kubwa hazijajulikana bado kwa hivo tuziache mpaka muda wao ufike, but until then let's appreciate kilichopo mezani.
 
Umeandika vizuri sana mkuu hapa hata kutia neno siwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…