Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #21
Mega...Mohamed Said, kati ya hao wazee wa Dar-es-salaam, naomba unitajie walioteuliwa kushika nyazifa za kiserikali Tangu Uhuru, Jamuhuri hadi Muungano.
Maana kama walikuwa kipaumbele kwenye kupigania uhuru bila shaka walikumbukwa kwenye nyazifa nyeti za serikali ya wakati huo. La sivyo watakuwa walimkaribisha Nyerere awaongoze tu.
Pia mwandishi wa kitabu cha UWIKE USIWIKE KUTAKUCHWA kuna ajenda gani aliyofanya kitabu chake kipigwe ban.
Mwisho kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika. Je kuna mtu anaitwa Martin Kayamba.
Naomba unijuze hayo tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali umeliuliza sivyo.
Kwanza Baraza la Wazee wa TANU halikuwa pale kudai uhuru ili ukipatikane wapate kazi.
Pili wao siyo waliomchagua Nyerere.
Vipi Nyerere aliingia katika uongozi wa TAA Makao Makuu ni historia nyingine kabisa.
Unaweza kusoma historia ya Martin Kayamba katika kitabu cha Iliffe (Ed)"Modern Tanzanians (1973).
Kayamba kafa miaka ya 1940.
Sent using Jamii Forums mobile app