''Wacheza bao, wavaa kobasi waliokuwa na ilmu akhera'' na wasifu wa Julius Nyerere

Mega...
Swali umeliuliza sivyo.

Kwanza Baraza la Wazee wa TANU halikuwa pale kudai uhuru ili ukipatikane wapate kazi.

Pili wao siyo waliomchagua Nyerere.

Vipi Nyerere aliingia katika uongozi wa TAA Makao Makuu ni historia nyingine kabisa.

Unaweza kusoma historia ya Martin Kayamba katika kitabu cha Iliffe (Ed)"Modern Tanzanians (1973).

Kayamba kafa miaka ya 1940.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 . Rais wa AA Cecil Matola mgalatia
2 . Rais wa TAA Dr Kyaruzi mgalatia
3 . Rais wa TANU Dr Mwl Nyerere mgalatia

Sasa ukiniambia Wagalatia hawakuwa mstari wa mbele kudai uhuru wakati viongozi Wakuu wote walikuwa Wagalatia nabaki nashangaa na kusikitika.

Historia ya Tanganyika kama inavyosimuliwa na Sheckh Mohamed Said katika kile kitabu chake cha kumuenzi Babu yake hakina maana wala huwezi kusema ndio historia ya Tanganyika.
 
Ngongo,
Ndiyo faida ya kuandika na ukasomwa na watu.

Kila msomaji atasoma kitu kile kile lakini kila mmoja ataelewa kadri ya maajaliwa ya kichwa chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe sijui upo dunia ya wapi? Umeelewa lakini alichoandika mwandishi?
 
Wewe ndio haujaelewa msome tena na tena Ustadhi Mohamed utamwelewa.
Ngongo,
Unatonesha kidonda mimi si ustadh lau kama natamani kama ningekuwa.

Kuna jamaa wengi huniita Profesa, Dk. na huwaleza kuwa sikujaaliwa kiwango cha elimu hiyo.

Wananichoma moyo wangu kwani ningependa niwe.

Sasa wewe unaniongezea ilm nyingine ambayo sina.

Unauchoma moyo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…