kwahiyo hiyo kanuni ni kwaajili ya Simba tu kisa yuko mo mwenye hela ya kusajili? tff bwana kuna mambo, wanaibadilishia goal post timu moja.sio timu zote zinaweza kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
Halafu wazawa nao wajitume au watoke waende nje kucheza sio kung;ang'ania hapo kariakoo
Simba ni malimbukeni Sana, hivi ukiwa na wachezaji 10 wa kigeni kwenye klab halafu wote wakaitwa kwenye timu zao za taifa klabu itabakiwa na nini? Na vipi kama mfadhiri akabwaga manyanya ghafla mishahara Yao itatoka wapi?Ngoja tuone mwisho wake nini kitatokea mana tangu timu fulani kupata nguvu za kiuchumi kanuni na sheria zina badilika kuwa sapoti ila wakumbuke udhamini wa timu za tanzania sambamba na uongozi ni suala la muda tu sasa sijui wataendelea na magumashi yao maana sasa viongozi wamekuwa hawa angalii mustakabali wa mpira wa tanzania bali wanaelekeza mapenzi kwenye vilabu wana vyo vipenda.
sio timu zote zinaweza kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
Halafu wazawa nao wajitume au watoke waende nje kucheza sio kung;ang'ania hapo kariakoo
England timu zao zimejaa wazawa lakini ni waingereza wangapi wanacheza nje ya England, timu Yao ya taifa ina ubora gani duniani?sio timu zote zinaweza kusajili wachezaji 10 wa kigeni.
Halafu wazawa nao wajitume au watoke waende nje kucheza sio kung;ang'ania hapo kariakoo
Kuweka kikomo cha wachezaji hakisaidii timu ya taifa kiivyo. Kuwabeba wachezaji bila kua na sifa haisaidii timu ya taifa. Ngoja tujaribu hii labda itawasaidia wachezaju wetu kujituma maana tumewabeba sana lakini hatujaona chochote kwenye timu ya taifaEngland timu zao zimejaa wazawa lakini ni waingereza wangapi wanacheza nje ya England, timu Yao ya taifa ina ubora gani duniani?
Timu ya taifa ya England ina ubora.England timu zao zimejaa wazawa lakini ni waingereza wangapi wanacheza nje ya England, timu Yao ya taifa ina ubora gani duniani?
Kuweka kikomo cha wachezaji hakisaidii timu ya taifa kiivyo. Kuwabeba wachezaji bila kua na sifa haisaidii timu ya taifa. Ngoja tujaribu hii labda itawasaidia wachezaju wetu kujituma maana tumewabeba sana lakini hatujaona chochote kwenye timu ya taifa[/QU
Hivi Mavugo alikuwa na sifa gani ya kuitwa mchezaji wa kigeni?
Wakati soka letu lilipokuwa juu enzi za akina Mzee Bendera rip klabu zetu hazikuwa na wageni. Uganda, Rwanda, Burundi hakuna wageni wengi lakini viwango vyao vya soka viko juu kuliko Sisi.Hii safi sana. Kama wazawa wana ‘akili’ itawamotivate sana kupambana. Uchache wa wachezaji wa kigeni haukuzi soka letu,zaidi linafanya wazawa kuwa wazembe wazembe tu.
Tufanye tathmini fupi tu,toka tumeanza na wakigeni kuwa wa 3 tukaja 5,soka letu hasa ngazi ya kimataifa limepiga hatua gani? Na vipi hao wazawa waliokuwa wanawakilisha vilabu vyao kimataifa kipi walichokifanya zaidi ya kuonekana wabovu hasa kwa kukosa uzoefu?!
Cha umuhimu,timu zisajili kweli wachezaji wa kimataifa ili kuleta tija kwenye soka letu na sio janjajanja.
Bravo TFF kwa hili.
Unaota au cm yang ndo kimeo2018/19 ligi itakuwa na timu 20.
Inaelekea Mo kuidhamini Simba imekuuma sana mkuu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja tuone mwisho wake nini kitatokea mana tangu timu fulani kupata nguvu za kiuchumi kanuni na sheria zina badilika kuwa sapoti ila wakumbuke udhamini wa timu za tanzania sambamba na uongozi ni suala la muda tu sasa sijui wataendelea na magumashi yao maana sasa viongozi wamekuwa hawa angalii mustakabali wa mpira wa tanzania bali wanaelekeza mapenzi kwenye vilabu wana vyo vipenda.
Huo ndio ukweliUnaota au cm yang ndo kimeo
Kuweka kikomo cha wachezaji hakisaidii timu ya taifa kiivyo. Kuwabeba wachezaji bila kua na sifa haisaidii timu ya taifa. Ngoja tujaribu hii labda itawasaidia wachezaju wetu kujituma maana tumewabeba sana lakini hatujaona chochote kwenye timu ya taifa
Kikubwa ‘Mentality’ mkuu. Hata mshahara haukuwepo hiyo zamani ila timu zilipambana kufanya vyema,umejiuliza kwanini sasa hivi tunatoka patupu?. Vijana wanataka pesa nyingi halafu kazi hawapigi ipasavyo.Wakati soka letu lilipokuwa juu enzi za akina Mzee Bendera rip klabu zetu hazikuwa na wageni. Uganda, Rwanda, Burundi hakuna wageni wengi lakini viwango vyao vya soka viko juu kuliko Sisi.