Wachezaji ambao wamepewa mkono wa kwaheri Yanga SC

Mapinduzi Balama majeruhi yamemfanyia ukatili wa kutisha.

Moloko alitakiwa na yeye kusepa! Maana hana tofauti kubwa na wazawa. All in all ngoja tusubiri tuone.
 
MOLOKO AONDOKE TU MAANA CROSS HAWEZI PIGA
Moloko ana akili kubwa ya mpira, akipambana akaona mambo magumu huwa anajiingiza mzima mzima na mpira kwenye kumi na nane kutafuta penati. ni kama Morisson pia. bado Yanga inamhitaji sana kuwachosha mabeki kisha Nkane anaingia kumaliza kazi.
 
Huyo aziz ki kama wamesajili mesi ushamba mzigo kweli mchezaji mwenyewe kila siku mnampiga calendar.
 
Kabwili hawezi ondoka, ameshasema atafia hapo.
Akitoka nani atamchukua? Mlivomuumbua mlitaka nn?
Huyo ni wenu na mbna mlea, ngoja kwan nimpigie cm kumuuliza.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yassin mustapha why jamani aachwe halafu ukizingatia alicheza mechi nyingi kuliko yule Bryson ambaye anabaki..!
 
Yanga ni noma tunashindana kusajili wachezaji na man city, barca, R. Madrid.

Naskia huyu dogo Bigirimana alikataa ofa za timu tajwa hapo juu, akaona chaguo sahihi ni jangwani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…