ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Acha na vigezo vingine kutoka FIFA
Wachezaji wanaobadili uraia ni makapi yaliyotemwa Africa Magharibi ambao hata hawatambuliki kama wanafanya kazi ya kucheza mpira labda mataifa Yao wanajua ni vibarua tu
Kwa mfano
1.Azizi ki - Burkina Faso
Huyo hata umpe mbuga ya Serengeti, hawezi kukubali kuvaa jezi ya Stars aache kuchezea Burkina Faso, yenye platform kubwa
2. Dijui Diara - Mali
Goal Keeper namba 1 wa Mali hawezi kubadili uraia ili atumike huku kwetu
3. Aucho- Uganda
Captain wa team ya Taifa ya Uganda ambayo ndo timu Bora ukanda wa CECAFA aje kubadili utaifa kucheza mavumbini huku, never
4 Pacome Zouzou - Ivory Coast
Mchezaji anayeitwa timu yenye mastaa kama akina Frankie Kessi, Adingira, Sebastian Haller aje kuvaa jezi ya Taifa stars never
5 Max Mpia Nzengeli
Mchezaji aliyecheza DRC aje kurubuniwa kuwa Mtanzania ili acheze Taifa stars, never
6. Ngoma - DRC
CV ya Ngoma ni kubwa na ana heshima kubwa kwao DRC hawezi kukubali kubadili uraia ili acheze stars
7 Camara pin 📌 📍
Goal Keeper wa kwanza kwenye Kikosi cha Guinea hata umhonge bandari hachezi stars
8 Valentine Nouma
Mchezaji anayecheza timu ya Taifa ya Burkina Faso hawezi kukubali kubadili uraia ili acheze Stars
9 Clatous Chama_ Zambia
Yaani mchezaji mwenye heshima huko Zambia aje acheze Stars, hilo haliwezekana
10 Prince Dube
Striker tegemezi timu ya Taifa Zimbabwe hawezi kubadili uraia ili atumike huku kwetu
Hao watawashawishi akina Mukwala, Chamou, Mutale,Debora, Okajepha na magalasa mengine
Wachezaji wanaobadili uraia ni makapi yaliyotemwa Africa Magharibi ambao hata hawatambuliki kama wanafanya kazi ya kucheza mpira labda mataifa Yao wanajua ni vibarua tu
Kwa mfano
1.Azizi ki - Burkina Faso
Huyo hata umpe mbuga ya Serengeti, hawezi kukubali kuvaa jezi ya Stars aache kuchezea Burkina Faso, yenye platform kubwa
2. Dijui Diara - Mali
Goal Keeper namba 1 wa Mali hawezi kubadili uraia ili atumike huku kwetu
3. Aucho- Uganda
Captain wa team ya Taifa ya Uganda ambayo ndo timu Bora ukanda wa CECAFA aje kubadili utaifa kucheza mavumbini huku, never
4 Pacome Zouzou - Ivory Coast
Mchezaji anayeitwa timu yenye mastaa kama akina Frankie Kessi, Adingira, Sebastian Haller aje kuvaa jezi ya Taifa stars never
5 Max Mpia Nzengeli
Mchezaji aliyecheza DRC aje kurubuniwa kuwa Mtanzania ili acheze Taifa stars, never
6. Ngoma - DRC
CV ya Ngoma ni kubwa na ana heshima kubwa kwao DRC hawezi kukubali kubadili uraia ili acheze stars
7 Camara pin 📌 📍
Goal Keeper wa kwanza kwenye Kikosi cha Guinea hata umhonge bandari hachezi stars
8 Valentine Nouma
Mchezaji anayecheza timu ya Taifa ya Burkina Faso hawezi kukubali kubadili uraia ili acheze Stars
9 Clatous Chama_ Zambia
Yaani mchezaji mwenye heshima huko Zambia aje acheze Stars, hilo haliwezekana
10 Prince Dube
Striker tegemezi timu ya Taifa Zimbabwe hawezi kubadili uraia ili atumike huku kwetu
Hao watawashawishi akina Mukwala, Chamou, Mutale,Debora, Okajepha na magalasa mengine