kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Mwaka 2010 hadi Leo cjaamini kwamba Andres Iniesta hakuchukua hyo tuzo akaishia kupata Messi. Ili na wewe ushangae jaribu kucheki mafanikio yao kwa mwaka huo. Na iniesta alifunga bao hadi siku ya final ya world cup mwaka huo.
Na kuna mwaka hapa Africa Adebayo alipewa uchezaji bora Wa Africa kwa sababu alikuwa mfungaji bora ktk timu ya Arsenal hapo haikuchukua ubingwa, wakati opponent wake mmoja wapo alikuwa Mohammed Aboutrika akiwa Captain Wa Al Ahly, aliiongoza timu hyo kutwaa kombe LA klabu bingwa Africa, akiwa captain tena Wa timu ya taifa mwaka huo huo akaiongoza timu hyo kutwaa ubingwa Wa Africa na alikuwa mfungaji bora Wa mashindano. Mwenye kukumbuka vema mwaka na kisa hicho anikumbushe zaidi, mana niliumia sana.
Na kuna mwaka hapa Africa Adebayo alipewa uchezaji bora Wa Africa kwa sababu alikuwa mfungaji bora ktk timu ya Arsenal hapo haikuchukua ubingwa, wakati opponent wake mmoja wapo alikuwa Mohammed Aboutrika akiwa Captain Wa Al Ahly, aliiongoza timu hyo kutwaa kombe LA klabu bingwa Africa, akiwa captain tena Wa timu ya taifa mwaka huo huo akaiongoza timu hyo kutwaa ubingwa Wa Africa na alikuwa mfungaji bora Wa mashindano. Mwenye kukumbuka vema mwaka na kisa hicho anikumbushe zaidi, mana niliumia sana.