Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Kila mwaka msimu wa usajili timu mbalimbali husajili wachezaji ili kuimalisha vikosi vyao, bahati mbaya baadhi ya timu husajili wachezaji ambao wanakuwa na mchango mdogo kwenye timu zao hivyo kuwa mzigo.
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa magarasa kwenye timu hizo.
Yanga
Makambo
Ninja
Ngushi
Yusuf Athuman
Simba
Wachezaji wote isipokuwa
Manula
Chama
Kanoute
Mkude
Kapombe
Tshabalala
Sakho
Inonga
Kened Juma
Singida
Amis Tambwe
Kagere
Kmc
Waziri Junior
Ihefu
Obrey Chirwa
Tshishimbi
Juma Nyoso
Never Tigere
Manchester United
Harry Miguire
Je unadhani ni mchezaji yupi ni garasa kwenye timu aliyopo?
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa magarasa kwenye timu hizo.
Yanga
Makambo
Ninja
Ngushi
Yusuf Athuman
Simba
Wachezaji wote isipokuwa
Manula
Chama
Kanoute
Mkude
Kapombe
Tshabalala
Sakho
Inonga
Kened Juma
Singida
Amis Tambwe
Kagere
Kmc
Waziri Junior
Ihefu
Obrey Chirwa
Tshishimbi
Juma Nyoso
Never Tigere
Manchester United
Harry Miguire
Je unadhani ni mchezaji yupi ni garasa kwenye timu aliyopo?