Wachezaji hawa hawana vya kuendelea kuchezea timu walizopo.

Wachezaji hawa hawana vya kuendelea kuchezea timu walizopo.

Kanali G

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
9,898
Reaction score
14,413
Kila mwaka msimu wa usajili timu mbalimbali husajili wachezaji ili kuimalisha vikosi vyao, bahati mbaya baadhi ya timu husajili wachezaji ambao wanakuwa na mchango mdogo kwenye timu zao hivyo kuwa mzigo.
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa magarasa kwenye timu hizo.
Yanga
Makambo
Ninja
Ngushi
Yusuf Athuman

Simba
Wachezaji wote isipokuwa
Manula
Chama
Kanoute
Mkude
Kapombe
Tshabalala
Sakho
Inonga
Kened Juma

Singida
Amis Tambwe
Kagere

Kmc
Waziri Junior

Ihefu
Obrey Chirwa
Tshishimbi
Juma Nyoso
Never Tigere

Manchester United
Harry Miguire

Je unadhani ni mchezaji yupi ni garasa kwenye timu aliyopo?
 
Kila mwaka msimu wa usajili timu mbalimbali husajili wachezaji ili kuimalisha vikosi vyao, bahati mbaya baadhi ya timu husajili wachezaji ambao wanakuwa na mchango mdogo kwenye timu zao hivyo kuwa mzigo.
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa magarasa kwenye timu hizo.
Yanga
Makambo
Ninja
Ngushi
Yusuf Athuman

Simba
Wachezaji wote isipokuwa
Manula
Chama
Kanoute
Mkude
Kapombe
Tshabalala
Sakho
Inonga
Kened Juma

Singida
Amis Tambwe
Kagere

Kmc
Waziri Junior

Ihefu
Obrey Chirwa
Tshishimbi
Juma Nyoso
Never Tigere

Manchester United
Harry Miguire

Je unadhani ni mchezaji yupi ni garasa kwenye timu aliyopo?
Ronaldo amekuwa mshambuliaji hewa anatuchania mikeka kizembe sana

Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kwanza Chooni ukatawaze
Kila mwaka msimu wa usajili timu mbalimbali husajili wachezaji ili kuimalisha vikosi vyao, bahati mbaya baadhi ya timu husajili wachezaji ambao wanakuwa na mchango mdogo kwenye timu zao hivyo kuwa mzigo.
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa magarasa kwenye timu hizo.
Yanga
Makambo
Ninja
Ngushi
Yusuf Athuman

Simba
Wachezaji wote isipokuwa
Manula
Chama
Kanoute
Mkude
Kapombe
Tshabalala
Sakho
Inonga
Kened Juma

Singida
Amis Tambwe
Kagere

Kmc
Waziri Junior

Ihefu
Obrey Chirwa
Tshishimbi
Juma Nyoso
Never Tigere

Manchester United
Harry Miguire

Je unadhani ni mchezaji yupi ni garasa kwenye timu aliyopo?
 
Hapo kwenye Yanga, mpaka leo sijawahi kuelewa sababu ya kubakizwa Abdallah Shaibu 'Ninja' kwenye timu. Maana tayari timu ina mabeki zaidi ya watatu kwenye hiyo namba. Hivyo alitakiwa kuachwa, ili akatafute changamoto mpya mahali pengine.

Huyo Yusuph Athuman na Cryspin Ngushi nao wamethibitisha wao ni wachezaji wa timu ndogo. Herritiel Makambo, amepotezwa na Fiston Mayele. Hivyo asipokuwa makini, msimu ujao bye bye.
 
Hapo kwenye Yanga, mpaka leo sijawahi kuelewa sababu ya kubakizwa Abdallah Shaibu 'Ninja' kwenye timu. Maana tayari timu ina mabeki zaidi ya watatu kwenye hiyo namba. Hivyo alitakiwa kuachwa, ili akatafute changamoto mpya mahali pengine.

Huyo Yusuph Athuman na Cryspin Ngushi nao wamethibitisha wao ni wachezaji wa timu ndogo. Herritiel Makambo, amepotezwa na Fiston Mayele. Hivyo asipokuwa makini, msimu ujao bye bye.
Hao wazawa wanaweza kuendelea kubaki wajifunze. Nabi anamkubali sana Ngushi.
 
Back
Top Bottom