Wachezaji hawa ndiyo wanaoweza kwenda Algeria kushikilia bomba dakika zote 90 na tukafuzu Afcon

Yan kikosi cha Taifa Stars kianze bila Samatta? Hiyo siku hakutakalika kunako ofisi zile maana nahisi jamaa ana hisa ndio maana panga pangua hakosekani
 
Badala ya Aziz amweke Mudadhir
 
Yan kikosi cha Taifa Stars kianze bila Samatta? Hiyo siku hakutakalika kunako ofisi zile maana nahisi jamaa ana hisa ndio maana panga pangua hakosekani
Labda mm sijui Mpira ila mm huwa sikuelewi Samata..kama jana afadhali Kibu D alikuwa anapambana ...jamaa alikuwa wa Baridiiii!
 
Taifa Stars hawana tofauti na gari linalo jiendea lenyewe bila ya dereva.

Yule kocha namuona kama chenga tu.
 
Na imelipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…