Wachezaji kubadilishana jezi iwe marufuku

Wachezaji kubadilishana jezi iwe marufuku

Unakuta jitu limezeeka mpaka unywele wa mgongo lakini lipo tu wakati vijana wapo na hawana kazi, ona sahizi walivyorudishana mpaka unashangaa hivi vibabu si vyakukaa nyumbani nakucheza na wajukuu?
Huyo jamaa sidhani kama anajua Hon.Andrew Chenge amewahi kuwa mtumishi wa serikali, na ni msomi mbobezi kutoka Harvard University (kusoma hapo si mchezo). Ila anajulikana pia kwa mambo ya ulimwengu usioonekana kirahisi.
 
Back
Top Bottom