Wachezaji nane wa Al Merrikh wakutwa na Corona. Wenyewe wadai kuhujumiwa

Wachezaji nane wa Al Merrikh wakutwa na Corona. Wenyewe wadai kuhujumiwa

Merreikh wasitafute mchawi, hao wachezaji wao hata kule Sudan wapo waliokutwa na Corona na hawakucheza, na wanaopima Corona ni madaktari wa CAF sio wa nchi husika inapochezwa mechi, watulie wajenge timu, Simba SC kwasasa imewekeza uwanjani vizuri sana ndio maana inavuna matunda ya uwekezaji huo.
 
Watu wasijifanye wasahaulifu. Hawa Al Merrikh (wengine wanawaita El Mereikh) walikuwa na wachezaji watano wagonjwa wa corona katika mechi ya kwanza ya tarehe 6/03/2021 iliyochezwa kwao na vipimo vilivyochukuliwa kwao huko huko.

Kwa hali ya kawaida, maisha ya kambini ni ya mkusanyiko, hivyo uwezekano wa wengine watatu kuongezeka katika kipindi cha hizi siku kumi ni kitu cha kawaida kabisa.

Kwa hiyo, wachezaji nane leo kukutwa na corona si kitu kigeni wala hujuma maana tayari walikuwa na wachezaji watano wagonjwa siku kumi zilizopita.

Kama ni hujuma, basi zilianzia kwao. CAF ilijua uwezekano huo ndio maana ikaruhusu kuongeza wachezaji 10, sasa kama wao hawakuongeza, wajue tofauti iko hapo sasa

1615920719913.png
 
Unahangaika na utopolo tu mkuu.Unadhani El -Mereikh wanalalamika basi?

Ni wachambuzi maandazi wanazi wa utopolo wanatafuta sehemu ya kujifichia.
Ni aina ya watu wanaotumia upoyoyo wa mashabiki wenzao,ili wafaidi pesa ya GSM,huku wakiwaamisha yanga eti Sarpong ni zaidi ya Mugalu.Kisinda zaidi ya Luis na ukuta wao ni imara kuliko wa wazee wa Simba.

Hawa hawa wachambuzi maandazi wanawaaminsha mashabiki wao kuwa Simba ina ukuta dhaifu sana na haifiki popote.Kwa hiyo Simba ikishinda wanaumia sana na kutafuta kila aina ya kichaka cha kujifichia
Watu wasijifanye wasahaulifu. Hawa Al Merrikh (wengine wanawaita El Mereikh) walikuwa na wachezaji watano wagonjwa wa corona katika mechi ya kwanza ya tarehe 6/03/2021 iliyochezwa kwao na vipimo vilivyochukuliwa kwao huko huko...
 
Unahangaika na utopolo tu mkuu.Unadhani El -Mereikh wanalalamika basi?

Ni wachambuzi maandazi wanazi wa utopolo wanatafuta sehemu ya kujifichia...
el merikh ndio wametoa hizo taarifa za kubambikiwa corona kupitia official page yao ya club
 
Merreikh wasitafute mchawi, hao wachezaji wao hata kule Sudan wapo waliokutwa na Corona na hawakucheza, na wanaopima Corona ni madaktari wa CAF sio wa nchi husika inapochezwa mechi, watulie wajenge timu, Simba SC kwasasa imewekeza uwanjani vizuri sana ndio maana inavuna matunda ya uwekezaji huo.
Ikiwa Al Ahly amepigwa bila hujuma.. wao wafanyiwe hujuma kwa timu ipi?
 
Ale ndugu zao Al Hilaly walixheza na Enyimba walipigwa, game ya marudiano wachezaji 10 wa Enyimba waka kutwa na covid pale sudan al hilaly waka fuzu group stage kiulaini.
 
Back
Top Bottom