Wachezaji Nigeria watishia kususia mechi baada ya Saa 12 za Kuteseka Uwanja wa Ndege Libya

Wachezaji Nigeria watishia kususia mechi baada ya Saa 12 za Kuteseka Uwanja wa Ndege Libya

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Libya kama kawaida yao, wamewalaza wachezaji wa timu ya taifa, Nigeria Uwanja wa Ndege kwa zaidi ya saa 12 bila chakula wala vinywaji, wakaona haitoshi wamewapa Hiace (basi dogo) kuchukua timu nzima kuwapeleka Hotelini.
IMG_0189.jpeg

Wachezaji wa Super Eagles wamejawa hasira kutokana na hali hii, wakitishia kususia mechi yao ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika.
IMG_0190.jpeg

“Nimekuwa uwanjani wa ndege kwa karibu masaa 13, bila chakula, bila wifi, na mahali pa kulala. Afrika, tunaweza kufanya bora zaidi,” alisema Boniface.


NOTE: Libya wa wamelipa kisasi kwani na wao waliwahi pitia madhra kama hayo nchini Nigeria

IMG_0191.jpeg
IMG_0193.jpeg
IMG_0194.jpeg
 
Libya kama kawaida yao, wamewalaza wachezaji wa timu ya taifa, Nigeria Uwanja wa Ndege kwa zaidi ya saa 12 bila chakula wala vinywaji, wakaona haitoshi wamewapa Hiace (basi dogo) kuchukua timu nzima kuwapeleka Hotelini.

Wachezaji wa Super Eagles wamejawa hasira kutokana na hali hii, wakitishia kususia mechi yao ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika.

“Nimekuwa uwanjani wa ndege kwa karibu masaa 13, bila chakula, bila wifi, na mahali pa kulala. Afrika, tunaweza kufanya bora zaidi,” alisema Boniface.
View attachment 3124729
Hili taifa mwenye akili alikuwa Ghadafi peke yake. Inabidi CAF wawape pointi 3 na magoli matatu. Nigeria wakikubali kucheza wanaweza kushambuliwa wawe makini sana.
 
Libya ya Sasa ni bora kuliko ile ya Gadaf, Jamaa wamejipata. Riport za kiuchumi zinadokeza kuwa Libya ni taifa la pili kwa ukubwa uchumi Afrika baada ya visiwa vya mauritius. Ina per capital income ni karibu dollar 26000 za Marekani.

N.B Nigerians ni wahuni tu wamelipwa ubaya wao.
 
Libya ya Sasa ni bora kuliko ile ya Gadaf, Jamaa wamejipata. Riport za kiuchumi zinadokeza kuwa Libya ni taifa la pili kwa ukubwa uchumi Afrika baada ya visiwa vya mauritius. Ina per capital income ni karibu dollar 26000 za Marekani.

N.B Nigerians ni wahuni tu wamelipwa ubaya wao.
Mkuu hizi ripoti za kiuchumi anapanga nani? Mana kwa mtazamo wangu kabisa hivi ile nchi ilivyokua vile na inavyoendelea kuwa vile baada ya Col Ghada kuna maendeleo yoyote yanaweza kufanyika katika hali ile? Ukisema sababu ya mafuta ,miongoni mwa mafuta yanaoongozwa kuuzwa katika black market ni Nigeria na Libya ,ndio maana nikakuuliza wanaopanga hizi takwimu ni kina nani mkuu ukishajua hayo unaweza pata pa kuanzia.
 
Mkuu hizi ripoti za kiuchumi anapanga nani? Mana kwa mtazamo wangu kabisa hivi ile nchi ilivyokua vile na inavyoendelea kuwa vile baada ya Col Ghada kuna maendeleo yoyote yanaweza kufanyika katika hali ile? Ukisema sababu ya mafuta ,miongoni mwa mafuta yanaoongozwa kuuzwa katika black market ni Nigeria na Libya ,ndio maana nikakuuliza wanaopanga hizi takwimu ni kina nani mkuu ukishajua hayo unaweza pata pa kuanzia.
IMF na affiliates wengine
 
Kama mwenyekiti wa CAF anafanya manuva timu yake ipite kitapeli unategemea anaweza kusimamia nidhamu ya mpira wa Africa!? Kama timu zote zinazofanya figisu zingekuwa zinaadhibiwa mpira wetu ungekuwa mzuri sana.
 
Back
Top Bottom