Wachezaji Simba sc waahidiwa mil 10 kila mchezaji wakishinda mechi ya marudiano


Nikiwa kama ' Mtaalam ' wa Saikolojia ya Mawasiliano na kwa jinsi ninavyowajua Wachezaji hasa wa Kitanzania walivyo ukiachia wale wachache wa Kigeni huyo aliyetoa hiyo ahadi ajue ndiyo ameharibu kabisa kwani hivi sasa ' concentration ' ya Wachezaji haiko tena katika Kujiandaa na huo mchezo wa marudiano bali sasa najua kila mmoja anawaza ataenda Kulewa wapi, atatafuta Demu gani mkali, atanunua Gari gani, atanunua Nguo gani ili kushindana na akina Messi na Ronaldo. Ila nina uhakika pia tena wa 100% kuwa hata huyo aliyetoa hiyo ahadi ni kama vile ' amewasanifu ' tu kwani anajua fika kuwa Safari ya Simba SC katika CAF CC ndiyo imemalizikia juzi pale Uwanja wa Taifa baada ya kutoka Sare ya 2 kwa 2 na katika hili wala tusidanganyane au kujipa moyo. Kiushabiki Simba SC itafuzu mechi ya marudiano ila Kiufundi kabisa GENTAMYCINE nasema Simba SC tumeshatoka na kilichotokea Dar es Salaam juzi ni Msiba na maziko ya ' Marehemu ' wetu tunaenda kuyafanyia nchini Misri wiki ijayo.
 
shithole.
 
Hahaaaa si anajua kabisa watapigwa hamsa!
 
Hata waahidiwe ndege hawawezi kushinda! Mwaka 1993 dhidi ya kina Bolizozo waliahidiwa gari aina ya KIA bado walishindwa tena hapa hapa shamba la bibi!
Usinikumbushe ya Stella Abdijan,
Ile mechi wanadai Azim Dewji alieahidi KIA kila mchezaji aliwageuka Simba kisiri siri
 
Usinikumbushe ya Stella Abdijan,
Ile mechi wanadai Azim Dewji alieahidi KIA kila mchezaji aliwageuka Simba kisiri siri
Ha ha ha! nadhan hata huyu aliyewaahid M 10 atawageuka tu! Mwaka ule wakiwa na watu kama Masatu, Masha na Mwameja walichezea 2, sembusa hawa kina mlipili
 
Bora wasingeahidiwa,,, wanaenda kupigwa nyingi sana. Al masry sio wa mchezo mchezo.....waarabu wanaujua mpira bwana.
 
Ha ha ha! nadhan hata huyu aliyewaahid M 10 atawageuka tu! Mwaka ule wakiwa na watu kama Masatu, Masha na Mwameja walichezea 2, sembusa hawa kina mlipili

Wanaenda kufumuliwa na wenye mpira wao. Sisi twendelee kula ugali na rosti ya mapanki πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ndo ujue kitu ambacho hakiwezekani mtu atoe zaidi ya M 200 kwasasa siamini
 
Wachezaji wetu hawana lishe bora unategemeaje matokeo chanya uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…