jobless tycoon
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 675
- 327
Hapa huwakuti....hata wapambe wao wamechuna......Wale wazee wenye timu yao huwa hawashuliki na mambo kama haya... subiri wasikie timu inakodishwa ndo utajua nguvu yao...
Tumeshamlipa. Umeshakwenda kupiga magoti.? Wenzako wameshakusanyika klabu unangojewa wewe tu.Mazoezi ya kupiga magoti karibu yataanza. Mzee Rashid Matunda alichangangisha maharage na unga wachezaji wale. Sijui safari hii mtachangisha nini?Bora mpige magoti.Mshamlipa Kaduguda pesa za chapati alizowakopesha maana sio zake ni za mkewe
Anangojea kupigiwa magoti. Siku nyingi watu hawajaonyesha shukurani. Inabidi goti lipigwe unafanya mchezo.Mdosi kasusa?
Ku DIPU ndio nini?wame m DIPU
Jibu swali nchi ninayoishi inahusikaje na swali?uko nchi gani mkuu
ha ha haMshamlipa Kaduguda pesa za chapati alizowakopesha maana sio zake ni za mkewe