Wachezaji timu ya Yanga wagoma kufanya mazoezi

Wacheze chini ya kiwango walau mechi mbili tu ndo jambo la msingi....bila shaka watapata noti zao

Bwihi.. Bwihi..!
 
Mshamlipa Kaduguda pesa za chapati alizowakopesha maana sio zake ni za mkewe
Tumeshamlipa. Umeshakwenda kupiga magoti.? Wenzako wameshakusanyika klabu unangojewa wewe tu.Mazoezi ya kupiga magoti karibu yataanza. Mzee Rashid Matunda alichangangisha maharage na unga wachezaji wale. Sijui safari hii mtachangisha nini?Bora mpige magoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…