mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Ni tatu?maana naona kuna watu watatu hapo...sasa kafungwa nani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tatu?maana naona kuna watu watatu hapo...sasa kafungwa nani..
Pole sana naona upo mbali na soka la vpl hata hujui wachezaji na viongoziNi tatu?maana naona kuna watu watatu hapo...sasa kafungwa nani..
Sasa kama record kote zina utata inabidi kutumia plan B!! Bodi ya ligi inaonekana nako records za mechi hiyo hazionekani!! Hakuna clip yoyote iliyo rekodiwa siku ya mechi!! Lazima utumike utaratibu huo!! Ila mchawi wa soka letu ni TFF.Shafii dauda ndiye source ya habari?
Wachezaji wa African lyon ndo waamuzi wa mpira?
Nimekuuliza matokeo ya YANGA HUKO algeria.. Unanitumia watu watatu..nikajuwa umeamua kutumia ishara y watatu..kama magoli matatuPole sana naona upo mbali na soka la vpl hata hujui wachezaji na viongozi
Hata refa ana timu yake, bahati mbaya marefa waliochezesha Kagera Sugar Vs Lyon ni mashabiki wa Simba.Shafii dauda ndiye source ya habari?
Wachezaji wa African lyon ndo waamuzi wa mpira?
Nao hao marafiki zako waarabu tuliwapiga kimoko taifa, hatukutoka bure. Barca walipigwa 4 na PSG sembuse Yanga.Hivi wanaodai hizo points ni kagera kweli au PEREGE FC?haiingii akilini...hao kagera wadai points wao wanataka UBINGWA?AU WANASHUKA DARAJA?yote KAMBARE FC hao....ndy maana mnakula 4 G sababu ya kufuatilia ya watu
Hiyo kamatibya masaa 72 kwani haikujiridhisha ikiwemo kuwahoji waamuzi wa mechi inayolalamikiwa pamoja na records zilizopelekwa TFF?huo ni uzembe tu kwani hakuna taarifa za waamuzi?waamuzi wapo watano kuanzia mwamuz wa kati,waamuzi wawili wasaidizi,kamisaa wa mchezo,na msimamizi wa kituo wote hawa wasilione hilo tukio? acheni ubabaishaji bhana huku ni kuzionea timu ndogondogo na kukatisha tamaa wachezaji km MTU kashinda kwann mbadilishe Matokeo? huko ni kufanya siasa za mpira sasa cha kagera na afrikan waliocheza wanasema hakuna kadi yoyote huu ni usanii tu unafanyika
Mbona kutumia masaburi ni la kisasa kabisa?Ebu tupatie matusi ya kimjini
Wewe shafii akili yako ni finyu sana. Issue hapa ni ripoti ya kamisaa na refa aliyechezesha huo mchezo. Yaani wewe nimekutoa kabisa katika watu ambao ni makini. Unatafuta data mtaani! Hopeless kabisaShafii dauda ndiye source ya habari?
Wachezaji wa African lyon ndo waamuzi wa mpira?
ulitaka wakae kimya ili muwaonee kagera. hiyo ni haki yao. kila mtu atakula kwa jasho lake. kama marekani na north korea vile!!!Hivi wanaodai hizo points ni kagera kweli au PEREGE FC?haiingii akilini...hao kagera wadai points wao wanataka UBINGWA?AU WANASHUKA DARAJA?yote KAMBARE FC hao....ndy maana mnakula 4 G sababu ya kufuatilia ya watu
Duuu kwakuwa kawa mkweli ndio maana umefikia maamuzi hayo?Wewe shafii akili yako ni finyu sana. Issue hapa ni ripoti ya kamisaa na refa aliyechezesha huo mchezo. Yaani wewe nimekutoa kabisa katika watu ambao ni makini. Unatafuta data mtaani! Hopeless kabisa
Duu...wao wamewauzia VYURA FC HIZO points 3... HAIINGII akilini... Upo kwenye DALADALA.... Mbagala..mbz..eti unakwenda na bus mwisho wa kituo..kisa tu..umelipa nauli ya mbagala mbezi...ukifika mbezi unarudi kwa mguu...kisa ni haki yako..unamkomoa dereva... Duu hii kali..upoteze gharama zako..ambazo points hazikusaidii chochote...mradi tu eti upate haki...mmeshanunuwa hizo points perege fculitaka wakae kimya ili muwaonee kagera. hiyo ni haki yao. kila mtu atakula kwa jasho lake. kama marekani na north korea vile!!!