Wachezaji wa African Lyon wadai Mohamed Fakhi hakupewa kadi ya njano

Wachezaji wa African Lyon wadai Mohamed Fakhi hakupewa kadi ya njano

Shafih anakuaga mnafiki wala hakna mchezaji aliemuhoji kna mtu alimwambia alipewa kadi dk ya 75 mbele ya benchi la kagera shafh akaishia kubabaika anauliza uyo mtu alie tuma ujumbe ni nani?
 
kwani taarifa ya muamuzi ya huo mchezo inasemaje..??..mbona tff na hao kamati ya ligi wanathibitisha ubabaifu kwa kiwango cha platnum jamani..??..
lazima simba watakuwa wamewasilisha namba za michezo ambayo wanalalamika fakhi alipewa kadi,kwanini sasa hizo taarifa zisiitishwe mezani na kuangaliwa kinacholalamikwa..???..kuna haja gani ya kuwaita wachezaji na kuwahoji sijui.!!!...mbona kamati inajaribu kutuaminisha kaniki ni nyeupe wakati rangi yake inajulikana...???...
 
mpira ni kazi inayompatia kipato mchezaji na hasa anapofanya vizur huongezewa mkataba na kulipwa mshahara mzuri pia wamiliki wa timu hawapati hasara ya kuwekeza kwenye soka lakin kwa hili LA simba kulazimisha Matokeo yageuzwe ni kudidimiza soka na kukatisha tamaa vilabu vilivyopanda mwaka huu wakiamini kuwa bingwa hupangwa kabla ya msimu kuanza siamin na sitaki kuamini kuwa timu ya kagera hawana rekod za kadi za njano za mchezaji wao,siamin km simba wanafanya hivi kwa kuamin kuwa wana haki,siamin km Mohamed fakh beki wa simba wa msimu uliopita hajui atendalo,siamin km tff hawana takwimu sahihi za kadi za njano,siamin km mchezo kati ya kagera na Lyon hauna taarifa yoyote ya kamisaa,km rekodi za jumanne masiment zipo hadi Leo ,taifa stars kucheza afcon 1981 rekod zipo hadi mfungaji wa goli anajulikana,simba kuwafunga zamaleki 2003 rekodi zipo ,yanga kucheza hatua ya makundi 2016 ,Julio kustafu soka Mbeya 2016 iweje mchezo wa miez 2 iliyopita taarifa zipotee ? acheni usanii bhana tff,bodi ya ligi ,na wahusika wote naona kazi imewashinda kumbukeni mnakatisha tamaa baadhi ya vilabu vyenye uchumi mdogo km ndanda,a lyon,majimaji,lipuli,njombe mji,na singida united wanaojikongoja sio haki hata kidogo mashabiki wa soka tunaumia sana kwa upuuz wa watu wachache kila siku tunaacha familia zetu huko misenye tunakuja kaitaba kushangilia timu yetu mara tunaambiwa kagera imefungwa 3 na simba wakati mechi imechezwa kweupe na kila mtu kaona sasa cjui na goli la mbaraka yusuf atapewa shiza kichuya
Huu ni upotoshaji. Mchezaji akiwa na kadi tatu na IKATHIBITIKA, hakuna porojo lazima timu husika ipokonywe point na kupewa timu nyingine,na IKITHIBITIKA hakua nazo,adhabu hiyo haiwahusu. Ni mambo hayo,zingine zote ni porojo tu.
 
Ndio maana simshabiki wa boli la TZ kwa upuuzi kama huu, eti haijulikani kama mtu ana kadi au hana!
 
Wewe ni mpuuzi mimi siungi mkono hata siku moja point za mezani, kama kuna dosari timu iadhibiwe na matokeo yanabaki kama yalivyo.

Sasa kama Simba ingeifunga Kagera uwanjani kwahiyo isingekata rufaa na mchezaji angekuwa halali kucheza?
Hoja zinaposhindwa matusi yanatalamaki hasa kwa watu vichwa panzi. Kama umeishiwa hoja ni bora ukae kimya matusi hayasaidii kujenga hoja! Hakuna wa kuwalaumu, tatizo kubwa ninaliliona Mzee Akilimali ameshikilia akili zenu. Ndiye anayepanga ni kitu gani mseme na kwa wakati gani.
Tafuta kanuni za mashindano ndipo utaelewa ni adhabu gani zinatolewa kwa kumchezesha mchezaji asiye halali
 
Mechi ya Kagera Sugar na African Lyon ndiyo inayoleta utata kwa sababu ndiyo inayo mhukumu mchezaji huka kwamba ndiyo ilikuwa mechi ya tatu mfululizo anaoneshwa kadi ya njano.

Mechi hiyo hiyo ndio Kagera wanasema mchezaji hakuoneshwa kadi lakini wanakubali kuwa kabla ya mechi hiyo ni kweli alikuwa na kadi mbili za njano.

Mechi hiyo haikuoneshwa na Azam TV wala haikurekodiwa,Kwa upande wao Kagera Sugar wanasema kwenye rekodi zao hakuna hiyo kadi inayolalamikiwa na Simba.

Kwa utafiti uliofanywa na Shaffih Daudi kwa baadhi ya wachezaji wa African Lyon waliocheza mechi dhidi ya Kagera Sugar wanasema hawakuona tukio lolote alilofanya Mohamed Fakhi lililopelekea kuoneshwa kadi ya njano na hawakuona mwamuzi akimuonesha Fakhi kadi ya njano.
Mleta UZI unamwamini sana SHAFFIH DAUDA sana....
 
Back
Top Bottom