Wachezaji wa Bravos Wavuruga Mazoezi ya Simba kabla ya mechi, wakitaka kutikisa Nyavu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Ubaya Ubwela kama unamgeukia Mnyama huko Lupaso

Mechi haijaanza ila Wachezaji wa BRAVOS wakawa wanalazimisha kwenda kutingisha nyavu za lango la Simba, imebidi Stewards waingie pia kuwatoa maana walienda kuingilia hadi program ya Makipa wa Simba waliyokuwa wanaifanya chini ya Kocha wa Makipa.
Your browser is not able to display this video.
 
Washajua wanacheza na tunguli sio watu.
 
Kule vyumban kumeshapulizwa marashi hatarishi. Bravon wakienda vyumban muda wa mapumziko wakirudi tu watakuwa wamechokaa Kama mlenda.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Wametingisha vipi lango la Simba, kwani walijua Simba anaanzia upande gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…