Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
hilo la kutafiti nalo mkuu? hukuona ile aibu ya afcon kocha anaokotaokota wachezaji ilimradi tu kaambiwa huyo ana asili ya ktz kumbe wengine hata kuongea tu kiswahili full chengaNje kama wapi?! Ulaya au hapahapa Africa!? Kama ni Africa umefanya utafiti kujua ni wangapi wanaocheza ligi za Africa?! The same to Ulaya ni wangapi?
Shabalala na Feisal hata Yanga tu hawawezi pata namba, huko nje nani atawasajili?Ukiacha Shabalala, baka, na Feisal nimchezaji gani wa ligi ya bongo anayeweza kucheza Soka la kulipwa nje?
Sasa wewe umeongelea kiudhabiki lakini hao ndio afadhali wanaweza kucheza kwenye ligi Bora za africaShabalala na Feisal hata Yanga tu hawawezi pata namba, huko nje nani atawasajili?
naamani watakuwepo tu mkuu na wengine wanaweza wanaweza kuwa madaraja mengine ya chini lakini wazuriUkiacha Shabalala, baka, na Feisal nimchezaji gani wa ligi ya bongo anayeweza kucheza Soka la kulipwa nje?